USIYOYAJUA KUHUSU WANAWAKE

koncho77

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
7,789
Reaction score
10,388
1. KUHUSU TAMAA
ZAO.
-Mwanamke yeyote
anaweza kukutamani
kimapenzi isipokuwa
Mama yako.
2. KUHUSU HULKA
ZAO.
-Wanawake wote
huonesha upendo wao
waziwazi isipokuwa wale
waliotendwa kabla.
3.KUHUSU KUACHANA.
-Mwanaume kumuacha
mwanamke
anayempenda ni kama
simba kuacha kula
swala, Mwanamke kumuacha mwanaume ni
rahisi kama swala
kumkimbia Simba mzee.
 
namba moja sikweli!! je dada yako na bibi yako walishawahi kukutaman??
 
mtoa mada wewe umeyajuaje haya?
acha uwongo wa kipuuzi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…