hahaaa hapanaMwali, ebu malizia ulichotaka kusema...ππ
Ailavuyu...ππ€£πEeeh wewe ni jinsia ya Adamu mkuu!! Sikuwa nafahamu hilo mimi nilijua ni KE
Amigo, kuna mtu kanya sasa naona tunarushiwa kiwele huku...ππKumbe ni Male!
Asante kwa taarifa mkuu.
Mkuu kwanini unapenda sana umbea?
Napenda kujua unaishi wapi na unajishughulisha na nini.Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Hahahahh safiMimi huwa unanifurahisha unapoweka thread halafu nyumbu kama hamsini unawashinda hoja wanabaki kutukana!
Naona mgumba anatembea na ndoo ya mate hapa mtaani, kisa kapata mimberi..πππhahaaa hapana
Mimi huwa unanifurahisha unavyonipa likes kule siasani hasa nikiwa nabishana na nyumbu.Hahahahh safi
Huyu jamaa Nyani Ngabu anacomedy sana wakati akiwashambulia Nyumbu wa CDM like " makamanda hawasomeki "
The sad side ni kwamba ndio mshiriki ninaemuona anakula BAN kwa wingi kuliko wengine
Mimi huwa unanifurahisha kule siasani namna unavyopangua hoja za vijana wa ufipa.Kinachonifurahisha nini wewe kuwa Team Magufuli [emoji123][emoji123].
Unanidai kinywaji chochote kile ukipendacho.
Apiah...π²Hilo ni lijike tyu linajishongondoa hapa
Nimekaribia mwali, tayari tumemaliza mavuno na sasa tuna demka upya..πHaaaaa
Haaaaa Haaaaa π karibu tena Boss
ππππHahahaaa
Lately nimegundua kwamba hata nyumbu wana akili kuliko makamanda!
Hahahah ni vizuri sanaMimi huwa unanifurahisha unavyonipa likes kule siasani hasa nikiwa nabishana na nyumbu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Mkuu, sijawahi kumwambia lolote wala kuwa interested nae kutokana na Mabandiko yake, pia sipendi mlengo wa chama alichopo! Ila najua ni KICHWA SANA! Yuko very smart yaani! Angeamua angeweza kutikisa sana kwenye majukwaa ya siasa!Mkuu, najua yalokusibu...ππ π€£
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahah ni vizuri sana
Hawa wadau wengine nao ni comedy + brilliant ones
Kivumishi Kielezi Elitwege mkorinto na wengine hata huyu warumi ila kumbe ni mwanaume aisee ok good good [emoji3][emoji3]
Kumbe we ni kidume cha Dar?Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Nina wasiwasi na haka kajamaa usikute ni kidume lakini washakaharibuMmmhhh Mbona kwenye baadhi ya comments mademu wa humu unawaita Mashosti??