Nimejikuta namkumbuka the legendary Lara1 a.k.a Lara Moko .
Pumzika kwa amani Warumi binamu yetu.
He knew he would soon die so he wanted to give us at least a clue of who he was.Jinsia yangu ni ME, Kijana mpole sana na mwenye aibu ....ebu tupige story kidogo , ni vitu gani vimekua vikikufuraisha/ kukuboa kuhusu warumi?, na ungependa kufahamu nini kuhusu warumi?
Simfahamu maana kitambo sana sijamuona jamvini akituburudisha na mastori ya town....Kwani kaenda wapi lala 1
Mungu hua anatupa kitu ambacho hua hatujui mwishoni kabisa mwa maisha yetu,kuna kitu alikiona japo sisi wala yeye hatukujui miaka yote hajawahi kukiri jinsia yake miezi mitatu before his death akasema ukweli hii ni kama maono hivi!Bila shaka Huu ndo uzi wake wa Mwisho huku na Kama alijua vile akaamua kujiweka karibu na Wan Jamii Ili wamfahamu japo kdgo na akajitahidi kujiweka ktk hali ya kujichanganya na Kila mtu bila kuonyesha Dharau.
Mungu ampe mapumziko salama Ndugu yetu
AiseeWarumi ni Ke kwa Id ya Warumi?
Warumi ni Me kwa Id ya Hansi Mtanashati
Kama alikuwa dume kwanini ajiweke kama jike au kuna namna ambayo hatujui?Maajab ya dunia.... ety warumi dume la mbegu!!
Acha kujua yasio kuhusu wewe elewa alikua mtoto wa kiume that's allKama alikuwa dume kwanini ajiweke kama jike au kuna namna ambayo hatujui?
Kinachonifurahisha nini wewe kuwa Team Magufuli 💪💪.
Unanidai kinywaji chochote kile ukipendacho.
Kwahiyo kafa warumi ke na warumi me a.k.a hance mtanashati bado anaishiWarumi ni Ke kwa Id ya Warumi?
Warumi ni Me kwa Id ya Hansi Mtanashati
Dah, binamu, May ulikuwa hapa ukijibu maswali ya watu kuhusu jinsia yako, Na bado watu hawaamini kama wewe ni ME Mungu akurehemu mdogo wangu, ulijua kutupagaisha na umbea wa moto motoAhahah kweli kabisa, ahsante sana binamu
Mtu ameshafariki unahoji hili ili iwe nini, thread inasema yeye ni ME sasa unataka nini zaidiKama alikuwa dume kwanini ajiweke kama jike au kuna namna ambayo hatujui?
I wish ningeweza kufuta PM nilokutum..🙈
Bila shaka Huu ndo uzi wake wa Mwisho huku na Kama alijua vile akaamua kujiweka karibu na Wan Jamii Ili wamfahamu japo kdgo na akajitahidi kujiweka ktk hali ya kujichanganya na Kila mtu bila kuonyesha Dharau.
Mungu ampe mapumziko salama Ndugu yetu
why wewe mnyambo kutoka BukobaNilikua namchukia