Ushauri wangu waarabu sio wepesi kupoteza Kwao na ni wagumu fainali hasa wakiwa Kwao kama vile wanaingizaga hadi mizimu iwasaidie.Ngoja waje kina nalia na ngwena,Interlucustrine na wengineo wakubishie
Wangekuja tu na kile ki bombadia chenye limit ya kuruka umbali mrefuNaomba wakifika Kule wakanyagwe mkurugenzi wa Air Tanzania atoe tamko ndege Ina hitilafu warudi na ndege za kukodi tu maana ni aibu.
ngoja tuoneNiwakumbushe tu Wana utopolo katika michuano hii ya luza USM hawajapoteza mchezo wowote nyumbani kwao,
Na kingine timu yoyote iliyotembelea pale kwao imekula kuanzia goli 2 na ni timu moja tu iliyopata goli, yaani USM wameruhusu goli moja tu toka mwanzo mwa michuano hii
Mjipange vizuri mnaenda Gwantanamo Bay, Endeleeni kuwekeza kwenye midomoView attachment 2639162
Ukumbuke Yanga nao hawana nyumbani wala ugeniniNiwakumbushe tu Wana utopolo katika michuano hii ya luza USM hawajapoteza mchezo wowote nyumbani kwao,
Na kingine timu yoyote iliyotembelea pale kwao imekula kuanzia goli 2 na ni timu moja tu iliyopata goli, yaani USM wameruhusu goli moja tu toka mwanzo mwa michuano hii
Mjipange vizuri mnaenda Gwantanamo Bay, Endeleeni kuwekeza kwenye midomoView attachment 2639162
[emoji2][emoji2][emoji16][emoji119]Wangekuja tu na kile ki bombadia chenye limit ya kuruka umbali mrefu
Hicho kitakuwa kinampa kazi rubani kukwepa maghorofa na kuwafanya abiria wa ndani wawe roho juu.
Pili kitakuwa kinapigwa na upepo safari nzima kinatumba kama mlevi
Pia naskia kikiwa angani kikipigwa push na mwewe au Kunguru kinaweza ku lose direction kikashika wrong root, kikajikuta kinapita root kuelekea Malawi badala ya Algeria
Sasa walete kombe wakati wenye kombe wanajulikana ili mliiibe kombe litaonekana Kule halafu taratibu za kuonyeshwa kombe zinakuaga kama fainali ni moja tu taratibu za Africa hizo ndo zipo hivyo.kwanini caf hawakuleta kombe uwanjani jana?
[emoji23]fainali ilishachezwa hapa Kule wanaenda kutafuta mshindi wa pili.
Sio kwa utopoloooo hiiiRecord zipo Ili kuvunjwa na kuweka record zingine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetishaaaa sanaaaaa.Uwanja wetu wa nyumbani hatuchezi soft kama kwenu kwa Mkapa tulivyocheza.
Kule tunafunga magoli hadi kwa mipira ya off target
Mashabiki wetu wana vibe, kule kwetu uwanjani viti havina kazi kwasababu hakuna mtu anayekaa.
Jana nimeona vitochi baadhi sasa mkija home vitochi vitaanzia kwa mashabiki wenu wale 300 wanaopanga kuja kwa ndege ya mseleleko mpaka kwa Diarra
Afu jana hali ya hewa huko kwenu ilikuwa ni nyuzi joto 25 tu, mkija home mtakutana na 19
Well mtasema mna experience ya baridi ya kule Tunnis lakini huku ni tofauti kidogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magoli yote waliyofungwa yanga matatizo ni mabeki.. ipo hivi hata mchezo uliopita kule south beki za yanga ziliachia nafasi nyingi sana kwa wapinzani isipikuwa tu wapinzani ndo walikuwa wanapaisha na kukosa wao wenyewe!..
Nafikiri kunahitajika safu nzuri ya mabeki wafungaji tayari wanao pia lazima kuwe na ushirikiano wakutosha ktk timu nzima,nje na maelekezo ya kocha lazima wachezaji wawe na mbinu binafsi na mbinu za timu.. mpira unachezwa kwa akili,mwili,saikolojia,ulaghai.
Kama hawatafanya mabadiriko yoyote huko uwanja wa ugenini watarudi na jezi tupu then wajiandae kumkosa mayele hiyo ni washinde au wasishinde!
Watawanuaa kwa upepoo unajuajee??Nasikia kuna mtu anasema watapindua meza, naomba niwakumbushe waarabu hawatumii meza wamakaa kwenye majamvi, sasa wanapinduaje jamvi na watu wamekalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata wangeletaaa ndo ingekuajeeee???kwanini caf hawakuleta kombe uwanjani jana?
sasa tutaamini vp kama jana ilikuwa fainaliSasa walete kombe wakati wenye kombe wanajulikana ili mliiibe kombe litaonekana Kule halafu taratibu za kuonyeshwa kombe zinakuaga kama fainali ni moja tu taratibu za Africa hizo ndo zipo hivyo.
.Nasikia kuna mtu anasema watapindua meza, naomba niwakumbushe waarabu hawatumii meza wamakaa kwenye majamvi, sasa wanapinduaje jamvi na watu wamekalia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sinywi bia ndo shida rafiki...Dada agiza safari ya bariiiidi napitia hapo kwa mangi kuja kulipa