Uso kwa uso na engineer wa Kipare Kanisani

Samehe saba sabini 70 na Sahahu.

Jua lisikuchwe ukiwa na hasira moyoni.

Next time usiharibu ibada kwasababu ya injinia wa kipare.
 
Nimeshawishika kupitia thread's zako zote....
Nilicho kigundua kwako ni upweke na desperation
 
Naona jina limewavutia wengi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ujue wanwake tunakosea. Ma X ni mtaji nao. Ukiachana na mtu, msigombane ili ujili kiinua mgongo. Hahaaaa.
Yes wanasema vyote unavyopata kwa ex baada ya uhusiano kuisha ni pension yako [emoji4]
 
Mwambie.
 
Ujue wanwake tunakosea. Ma X ni mtaji nao. Ukiachana na mtu, msigombane ili ujili kiinua mgongo. Hahaaaa.
Mwambie Huyu Mchagga. Story Haina Kichwa Wala Kiwiliwili...Ila Kuhusu Kumchuna Ex Labda Asiwe MKINGA.
 
Mwambie Huyu Mchagga. Story Haina Kichwa Wala Kiwiliwili...Ila Kuhusu Kumchuna Ex Labda Asiwe MKINGA.
Tena mkinga ndo mwepesi mpaka basi. Wale si lazima waoe kwao anakuwa na guilty mpaka basi unamchuna tu kirahisiiii.
 
Tena mkinga ndo mwepesi mpaka basi. Wale si lazima waoe kwao anakuwa na guilty mpaka basi unamchuna tu kirahisiiii.
Sio Kwa Mkinga Mimi. Kuchuna Labda Ww Kidogoooo. Ila Free P Inatembea Sana Kwa Hawa Wakurupukaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…