Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Katika pita pita zangu mchana wa leo jijini Dar es Salaam, nimekutana na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila katika ofisi fulani muhimu sana ya umma, yeye kaja na yake, na mimi nimekwenda na yangu, hivyo tukaa waiting room pamoja facing each other, tunaangaliana huku tunamsubiria mwenyeji wetu.
Kwanza kwa ule Utanzania wetu na Uafrika wetu wa kawaida mtu ukifika mahali na ukakuta watu, its normal kuwasalimia ndipo unakaa!, Mchungaji Mtikila aliingia tuu na kukaa huku tunaangaliana!, hata habari hakuna!. Kwa vile yeye ni public figure, na ninamfahamu, hivyo ni mimi ndio nikawa wa kwanza nikamsalimia "shikamoo Mchungaji Mtikila". Ile tuu kumsalimia kwa kumtaja jina lake, huwezi amini alinijibu alinichangamkia sana na tukaanza kuchat.
Kwanza nilimuuliza kwa nini wapinzani hawaungani?.
Jamaa alishusha nondo nzito kwa kubonda wapinzani wote kuwa Tanzania, hakuna mpinzani yoyote isipokuwa ni yeye tuu!, tena kuhusu Chadema, ndio usiseme kabisa, eti ni afadhali ya CCM kuliko Chadema!. Alisema mengi mabaya kuhusu Chadema kwa lugha kali na matukano kibao, huku akizungumza kwa sauti ya juu, ofisini kwa watu!.
Nikamsisitizia, kwa vile chama tawala ni CCM, vingine vyote ni upinzani, jee haoni kuikandia Chadema na CUF at this time ya kuelekea uchaguzi mkuu ni kuikampenia CCM kwa mlango wa nyuma?, au ameshikishwa kidogo dogo?!.
Jamaa aliwaka sana akasema CCM imshikishe nani pesa, ndipo akasema "hapa nilipo, japo sina pesa ila nimekataa hongo ya milioni 100 sasa hivi! toka kwa fulani na akamtaja jina (naomba nilihifadhi hilo jina ili kuilinda hadhi na heshima ya JF, kutokana na nature ya tuhuma zenyewe, maana huyu mtu niliyetajiwa, kwa humu JF, ni "mtakatifu fulani" sana humu jf, na ni mmoja wa waheshimiwa wetu kitaifa, hivyo anaheshimiwa sana tuu humu jf).
"Niligundua kuwa ... (akamtaja) ni muuaji, anatoa pesa kutuma assassins kutekeleza mauaji mbali mbali na kisha kufake accidents!, alitoa shilingi milioni 120 kuwapa Wakenya fulani wawili kumuua ...(akamtaja..), ushahidi ninao!.
Mtikila akaendelea kudai kuwa, Mfanyabiashara huyo tajiri alipomgundua siri yake ya mauaji kwa ku stage accidents imefichuka, kwanza alimuita kwenye (Mtikila) kwenye moja ya vitega uchumi vyake (akataja kitegauchumi hicho, mahali kilipo, siku na saa) akampa offer ya hongo ya Sh. Millioni 10 ili afute jina lake kwenye dossier ya wauaji. Mtikila akamkatalia.( Akimaanisha analo andiko hilo la mauaji!).
Mara ya pili (tajiri) huyo alimuita ofisini kwake, (akataja siku, muda na ofisi ilipo!) akapanda dau toka ile milioni 10! mpaka milioni 50!, bado Mtikila alizikataa!. Ndipo tajiri huyo akamuita Mtikila nyumbani kwake (akataja siku, muda na eneo nyumba ilipo!) akampa offer ya Sh. Millioni 100!. Ndipo Mtikila alimkubalia kwa shurti ya tajiri huyo, kwanza akiri dhambi zake za mauaji, na pili atubu kwa Mungu kwa kupiga magoti kutubu kwa, Mungu mbele yake, akishamsamehe na Mungu, ndipo na yeye Mtikila, atamsamehe na ataipokea hiyo pesa kama asante yake!.
.
Tajiri akagoma kukiri makosa ya mauaji na akagoma kutubu!. Ndipo Mtikila akasimama akatoka nje!, ila anadai kila kitu amerekodi kwenye digital sound recorder yake, na sasa anasubiri tuu time muafaka ili amlipue!, na kudai ameisharipoti polisi ili na yeye asije kufa kwa staged accident!.
Ila pia Mtikila alikiri kupokea kitita cha fedha, milioni kadhaa kutoka kwa Rostam Aziz, akisema ni kweli nilikuwa na shida, nikaenda kukopa, ila nilipozipata fedha za kulipa, nilimpelekea Rostam ili nimlipe, Rostam akakataa kuzipokea kwa hoja kuwa amemsaidia tuu, hivyo deni ameshalipa sasa zimegeuka sadaka!.
Nikamuuliza yeye kama mtu wa Mungu, na ni kiongozi wa upinzani, na anajua wazi ufisadi wa Rostam, na mtu wa CCM, anakwendaje kwake kukopa, hivi hizo sio sehemu ya pesa chafu za Kagoda?. Alijibu kuwa mtu ukiwa na shida, unakwenda kukopa popote kwa yeyote mwenye pesa, hata kwa adui yako, ili utatue shida yako. Akasema pesa hata ziwe chafu vipi, zimeibiwa au za madawa ya kulevya, ukizitumia kutenda wema kama alivyofanya yeye, then pesa hizo zinakuwa zimesafishika na kutakasika, hivyo ni pesa safi kwa sadaka!.
Na baada ya maelezo yote haya ya kukataa hongo ya milioni 100!, Mchungaji Mtikila alimalizia kwa jambo moja la ajabu ...(naomba nilsilitaje, ili kumlindia hadhi yake) ili jambo hilo ndio uthibitisho kuwa he is not normal!.
My Take.
Ukimsikiliza kwa karibu, Mchungaji Mtikila is kama insane fulani hivi!. . Ningekuwa ni mwandishi wa habari wa magazeti, hayo aliyoyasema Mtikila nikayaandika gazetini na majina yao!, kesho yake mimi, mhariri wangu na gazeti langu tungeishia mahakamani for defamation!.
Pasco
Update:
5 years later, 4 October 2015
Kauli Huumba!, RIP Mchungaji Christopher Mtikila!.
Nisamehe kwa yote!.
Paskali
Katika pita pita zangu mchana wa leo jijini Dar es Salaam, nimekutana na Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila katika ofisi fulani muhimu sana ya umma, yeye kaja na yake, na mimi nimekwenda na yangu, hivyo tukaa waiting room pamoja facing each other, tunaangaliana huku tunamsubiria mwenyeji wetu.
Kwanza kwa ule Utanzania wetu na Uafrika wetu wa kawaida mtu ukifika mahali na ukakuta watu, its normal kuwasalimia ndipo unakaa!, Mchungaji Mtikila aliingia tuu na kukaa huku tunaangaliana!, hata habari hakuna!. Kwa vile yeye ni public figure, na ninamfahamu, hivyo ni mimi ndio nikawa wa kwanza nikamsalimia "shikamoo Mchungaji Mtikila". Ile tuu kumsalimia kwa kumtaja jina lake, huwezi amini alinijibu alinichangamkia sana na tukaanza kuchat.
Kwanza nilimuuliza kwa nini wapinzani hawaungani?.
Jamaa alishusha nondo nzito kwa kubonda wapinzani wote kuwa Tanzania, hakuna mpinzani yoyote isipokuwa ni yeye tuu!, tena kuhusu Chadema, ndio usiseme kabisa, eti ni afadhali ya CCM kuliko Chadema!. Alisema mengi mabaya kuhusu Chadema kwa lugha kali na matukano kibao, huku akizungumza kwa sauti ya juu, ofisini kwa watu!.
Nikamsisitizia, kwa vile chama tawala ni CCM, vingine vyote ni upinzani, jee haoni kuikandia Chadema na CUF at this time ya kuelekea uchaguzi mkuu ni kuikampenia CCM kwa mlango wa nyuma?, au ameshikishwa kidogo dogo?!.
Jamaa aliwaka sana akasema CCM imshikishe nani pesa, ndipo akasema "hapa nilipo, japo sina pesa ila nimekataa hongo ya milioni 100 sasa hivi! toka kwa fulani na akamtaja jina (naomba nilihifadhi hilo jina ili kuilinda hadhi na heshima ya JF, kutokana na nature ya tuhuma zenyewe, maana huyu mtu niliyetajiwa, kwa humu JF, ni "mtakatifu fulani" sana humu jf, na ni mmoja wa waheshimiwa wetu kitaifa, hivyo anaheshimiwa sana tuu humu jf).
"Niligundua kuwa ... (akamtaja) ni muuaji, anatoa pesa kutuma assassins kutekeleza mauaji mbali mbali na kisha kufake accidents!, alitoa shilingi milioni 120 kuwapa Wakenya fulani wawili kumuua ...(akamtaja..), ushahidi ninao!.
Mtikila akaendelea kudai kuwa, Mfanyabiashara huyo tajiri alipomgundua siri yake ya mauaji kwa ku stage accidents imefichuka, kwanza alimuita kwenye (Mtikila) kwenye moja ya vitega uchumi vyake (akataja kitegauchumi hicho, mahali kilipo, siku na saa) akampa offer ya hongo ya Sh. Millioni 10 ili afute jina lake kwenye dossier ya wauaji. Mtikila akamkatalia.( Akimaanisha analo andiko hilo la mauaji!).
Mara ya pili (tajiri) huyo alimuita ofisini kwake, (akataja siku, muda na ofisi ilipo!) akapanda dau toka ile milioni 10! mpaka milioni 50!, bado Mtikila alizikataa!. Ndipo tajiri huyo akamuita Mtikila nyumbani kwake (akataja siku, muda na eneo nyumba ilipo!) akampa offer ya Sh. Millioni 100!. Ndipo Mtikila alimkubalia kwa shurti ya tajiri huyo, kwanza akiri dhambi zake za mauaji, na pili atubu kwa Mungu kwa kupiga magoti kutubu kwa, Mungu mbele yake, akishamsamehe na Mungu, ndipo na yeye Mtikila, atamsamehe na ataipokea hiyo pesa kama asante yake!.
.
Tajiri akagoma kukiri makosa ya mauaji na akagoma kutubu!. Ndipo Mtikila akasimama akatoka nje!, ila anadai kila kitu amerekodi kwenye digital sound recorder yake, na sasa anasubiri tuu time muafaka ili amlipue!, na kudai ameisharipoti polisi ili na yeye asije kufa kwa staged accident!.
Ila pia Mtikila alikiri kupokea kitita cha fedha, milioni kadhaa kutoka kwa Rostam Aziz, akisema ni kweli nilikuwa na shida, nikaenda kukopa, ila nilipozipata fedha za kulipa, nilimpelekea Rostam ili nimlipe, Rostam akakataa kuzipokea kwa hoja kuwa amemsaidia tuu, hivyo deni ameshalipa sasa zimegeuka sadaka!.
Nikamuuliza yeye kama mtu wa Mungu, na ni kiongozi wa upinzani, na anajua wazi ufisadi wa Rostam, na mtu wa CCM, anakwendaje kwake kukopa, hivi hizo sio sehemu ya pesa chafu za Kagoda?. Alijibu kuwa mtu ukiwa na shida, unakwenda kukopa popote kwa yeyote mwenye pesa, hata kwa adui yako, ili utatue shida yako. Akasema pesa hata ziwe chafu vipi, zimeibiwa au za madawa ya kulevya, ukizitumia kutenda wema kama alivyofanya yeye, then pesa hizo zinakuwa zimesafishika na kutakasika, hivyo ni pesa safi kwa sadaka!.
Na baada ya maelezo yote haya ya kukataa hongo ya milioni 100!, Mchungaji Mtikila alimalizia kwa jambo moja la ajabu ...(naomba nilsilitaje, ili kumlindia hadhi yake) ili jambo hilo ndio uthibitisho kuwa he is not normal!.
My Take.
Ukimsikiliza kwa karibu, Mchungaji Mtikila is kama insane fulani hivi!. . Ningekuwa ni mwandishi wa habari wa magazeti, hayo aliyoyasema Mtikila nikayaandika gazetini na majina yao!, kesho yake mimi, mhariri wangu na gazeti langu tungeishia mahakamani for defamation!.
Pasco
Update:
5 years later, 4 October 2015
Kauli Huumba!, RIP Mchungaji Christopher Mtikila!.
Nisamehe kwa yote!.
Paskali