.......uso kwa uso na mwana JF mwenzangu






Ndio unamjua leo,wengine humu tunajuana Prrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr... Source Preta ...
 
Last edited by a moderator:
Binti , Srade yako tamu!
Ina mvuto kiasi flani .
Btw naifananisha na mchuzi wa shatashata as known as rikoriko , kisha a certain mchuzi ukatengwa mezani hauna chumvi !
Mchuzi-pasua mtwe!
Kwa kumtaja huyo Member ndo chumvi yenyewe ujue!
Kwani kajisajili kwa jinale halisi ?
Si ni haya majina yetu mdosho tu? Asa unajigongajegongaje kumchana?
Hapa ni kama umetuchezea maeneo yetu ya misisimko pasi na kutupeak Kibo!
 
Hongera sana maana meno yote 32 nje kwa furaha.
 
Mimi sijawahi kukutana na Mwana JF hata mmoja wachilia mbali anayetumia JF... Nyie mna bahati sana..
 
hii tarehe uliyoweka thread nipo beach jioni mtu ambae sikutaka ajue id yangu humu kaijiua.
Yaaani akaanza kuniuliza jf unatumia jina gani?hapo nshasign out nimeingia as guest kumbe kasimu kangu kamebakia sehemu ya username imendikwa amu na sehemu ya password imeweka **** bado kuligin tu nikaenda back faster ili asiione kumbe too late.Nikamjibu naitwa Kongosho ha ha akaniambia amu acha utani bana khaaa nlichekaje sasa
 
Last edited by a moderator:
Asikwambie mtu bwana,kuonana marafiki wa jf kuna raha yake! Kwanza mtajiona ni watu wa kitofauti hata kama mpo ktk kundi la watu wengi,coz jf ipo kipekee sn.
 
Mimi sijawahi kukutana na Mwana JF hata mmoja wachilia mbali anayetumia JF... Nyie mna bahati sana..

pamoja, utajisikiaje siku ukikutana na mmoja wao ....?
 
Hee jamani kumbe na wewe H.O.E ni binamu yetu eti kabanga huyu ni binamu upande upi kwako?

bestito si umtaje basi huyo jf uliyenaye kazini kwenu?
 
Last edited by a moderator:
Yaani hako kapicha uloweka cha huyo mdada huwa naimagine na wewe upo hivyo hvyo kwa uzuri wa sura yako,napenda sana komet zako.

Koma mara 1 kumsifia Kitchuna wangu!
Tena usirudie! Wanamme tunajipinda kum'carol-lite wewe uje usifie kwa uso mkavu!
Koma .
Heaven on Earth hivi haka kajamaa unakafahamu?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…