.......uso kwa uso na mwana JF mwenzangu

hahahaaa!! kumbe unavaaga mini skirt dada!!

nimefurahi kukuona!
 
Yaani hako kapicha uloweka cha huyo mdada huwa naimagine na wewe upo hivyo hvyo kwa uzuri wa sura yako,napenda sana komet zako.

Hhahah hata hatufanani......sema kuna one character I have ambayo ipo kwa huyo mdada.....

Thank youuuuuuuuuu
 
mimi huku nilipo sidahani km ntakuja kukutana na mtu wa jf yaani huku machochwe wala sitegemei,
 
Koma mara 1 kumsifia Kitchuna wangu!
Tena usirudie! Wanamme tunajipinda kum'carol-lite wewe uje usifie kwa uso mkavu!
Koma .
Heaven on Earth hivi haka kajamaa unakafahamu?

J una mambo wewe.........simfaham hata
tunakutania humu humu kwenye corner za JF

Uko salama lakin
 
Najua umeandika kahistoria kichwani hongera kwa hilo
 
Hii ya watu wa karibu kujua id inanipa shida. Kuna wakati wa kufanya maamuzi magumu na kuchukua id ingine.
 
I miss you atug.How have you been Long time NO SEE........

Nashukuru kwa kuniielewa

Nipo ma dia as u no that thread ya tpf ilifikia ukingoni.. Now am on mapumziko mkoa wa watu
 
Last edited by a moderator:
Nimejaribu kufupisha kastori nimeshindwa............Mnisamehe Bure

Hii mbona umefupisha tayari. Maana kuna H.O.E...kwikwiikwii. Wengine wanauliza kama neno 'abbreviation' lina maanisha kifupi..mbona lenyewe ni refu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…