Uso kwa Uso(Nikiwa Sober) na Mwanajamiiforums mwenzangu ambaye huwa ni Mpinzani wangu sana humu ndani

Usishangae... Manungayembe huwa hayakosekani popote pale... Yanakuwepo kupepesa pepesa macho kama bendera ya cuf ya lipumba kutafuta wanaume wa kuwazoea. Usishanga jose..

[emoji56] [emoji56] [emoji56] [emoji56]
 
Ila yaweza kuwa kweli aisew. Nilikaa siti moja na Mghamba nikienda Mwanza, anacomment balaa najifanya nimelala hahaha. Ila alivyo smart na anavyoandika humu ni tofauti.
 
Li ndezi kwenye ubashite ulio bora
 
Hah hah hah.....

Kama wabunge wa CCM na UKAWA vile wakiwa bungeni maadui ila mifahawani na kwenye viti virefu ni maselaa balaa
Na wale wa jinsia tofauti wanamegana sana mpaka wazee wao wananuna!
 
Usishangae... Manungayembe huwa hayakosekani popote pale... Yanakuwepo kupepesa pepesa macho kama bendera ya cuf ya lipumba kutafuta wanaume wa kuwazoea. Usishanga jose..
[emoji23] [emoji23]
 
KUNA MTU nliambiwa anaitwa valentina ana recruit watu awaunge group la machangudoa na la passion. ni wewe? bado wapo? mi kaka yako nahangaika huku kutafuta mke nipasie hata limoja ambalo limeshachoka maisha hayo lije litulie na mimi huku.......
[emoji23] [emoji23]
 
KUNA MTU nliambiwa anaitwa valentina ana recruit watu awaunge group la machangudoa na la passion. ni wewe? bado wapo? mi kaka yako nahangaika huku kutafuta mke nipasie hata limoja ambalo limeshachoka maisha hayo lije litulie na mimi huku.......
[emoji23] [emoji23]

Siku ukiacha haya maujinga unayofanya huku jf na groups utatengeneza faida ndefu sana hata kwa jamii ikuzungukayo
 
ha ha ha... wewe ni rafiki yangu sana ujue?????????????????? tumetoka mbali sana tunafahamiana vizuri toka unakua..... tuwasiliane basi valey... mimi haya ninayoyafanya ndo naenjoy sana na ndo natengeneza faida kwangu na kwa jamii inayonizunguka pia.... utaniuliza kwa njia gani sitakujibu ila naweza kukufafanulia kama ingekuwa tunakuatana namna ileeeeeeeeeeeeeee.

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
[emoji23] [emoji23]

Siku ukiacha haya maujinga unayofanya huku jf na groups utatengeneza faida ndefu sana hata kwa jamii ikuzungukayo
 
Ha haa so now ndo nimekua rafiki yako sio!

Baada ya kujaribu kunisingizia mambo yako

Ila mchezo huu sio mzuri,bora uache
 
mi sijawah kukusingizai anything... siku zote wewe ni rafiki yangu.. mimi msema kweli mpenzi wa mungu.


Ha haa so now ndo nimekua rafiki yako sio!

Baada ya kujaribu kunisingizia mambo yako

Ila mchezo huu sio mzuri,bora uache
 
Dah, haya bhana.
 
Power ya jamiiforums ipo ktk the unknown.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…