BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
ππππ amesaidia kulipa madeni sioπππNyooo.. hela naihamisha na laini navunja
Mkuu , unaibaje pasipo kusudi?Mantiki yangu ni kwamba kuna muda u aiba pasipo kusudi sihalalishi wizi lakn
Ila digi digi mwenye milion sio kama mwenye empty setUanze kuishi kama digi digi
Hahahahah hakuna cha mbinguni hizo ni hadithi tuHapo ntakimbia kwa wakala kama mbwa koko.
Niirudishe ili iweje? Kwa utakatifu gani nilionao?
Nani kasema nataka kwenda mbinguni?
Bora niende motoni lakini nimeshakula kuku na kitimoto.
Daaah, vibaya ujue!Huwa sirudishi na wala sitoi, atairudisha mwenyewe ikipita week imekula kwake.
Wewe ni mwizi unaesikilizia kwanzaππππππHuwa sirudishi na wala sitoi, atairudisha mwenyewe ikipita week imekula kwake.
ππ sasa mfano pesa mara nyingi za makampuni kuja kujua baada ata ya wiki kwenye kufanya mahesabu labda muhasibu alikosea ndo mtu unapigiwa ushachomoa ka laki πHuwa sirudishi na wala sitoi, atairudisha mwenyewe ikipita week imekula kwake.
Mara nyingi inanitokea muamala unaingia baada ya Lisaa pesa inarudishiwa sasa mtu week nzima huyo hana njaa..Daaah, vibaya ujue!
Rudisha walau laki 5 basi piga pasuHapo ntakimbia kwa wakala kama mbwa koko, naenda kuitoa huku moyo unatweta kwa mapigo ya mwendokasi NDIIIIIIHHH NDUUUUUHHH NDIIIIHHH NDUUUUUHH NDIIIIIIIHH NDUUUUUHH
Niirudishe ili iweje? Kwa utakatifu gani nilionao?
Nani kasema nataka kwenda mbinguni?
Bora niende motoni lakini nimeshakula kuku na kitimoto.
πππππ Labda nishukiwe na roho mtakatifu.....Rudisha walau laki 5 basi piga pasu
Mna bargain au vp, kwan ulimuomba akuwekee si kashoboka mwenyewe ππ₯Mimi tutabargain namuambia asilimia 20 niichukue, nampa 800k
hahahahhaMimi nitatumia 300k fasta then namwambia wamechukua songesha the rest namrudishia
Ndo huo mfano sasa kwamba mtoto kashikwa na njaa sana had kaamua kuingia shamba la mtu kula maembe sii kwa kupendaMkuu , unaibaje pasipo kusudi?
hiyo haitaji kuchelewa unaamisha hata kwenye account ya mpawa ili asije rudisha au unanua vocha hata ya ten ili ashindwe reverse muamala mkuu kuwa na roho nzuri sana nayo siyo sifa kuwa na kiasi jua kutumia fursahahahahha