Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakaa kwenye Acc hapo km hakuna kitu vilee, zikipita week 2 mie naibonda km kawaa.Yanini kukakaa na mawazo au kujipa stress ndio maana mnapata matatizo ya afya ya akili wili mbili unaifikilia hela ya mtu?
Hakuna mkuu duniani hapa kila kinachokuja inabidi kikunufaishe hata kwa asilimia 0.0001 kuwa mwema sana hakuna maana sana sababu watakutumia wengine kama ngazi baadae uwe unalilia na kujipa stress sizizo na maanaWewe ni MAFIA 😂😂
Hiyo milioni nane huenda aliipata kwa kutuibia TOZO ZETU na KUTUTAPELI maofisini na kwenye biashara zake. Hata ungeichukua ni sawa tu.Mm nilirudisha mil 8 tena ilinipigia na kuniomba mwenyewe nilichofanya niliituma mwenyewe.
There's blessing kuwa MTU mwema I never regret
We bonda hata kidogo ulichojipimia then kingine atakutafuta akitaka hupaswi kuwa mwema sana kwa binadamu au unataka kujifunza kwa njia ngumu?Itakaa kwenye Acc hapo km hakuna kitu vilee, zikipita week 2 mie naibonda km kawaa.
😂😂Mungu anakupa kwanjia yatofauti naunayofikiri
Mie sijui sasa, na uzuri ilishawahi nitokeaa, 670k ziliingia kwenye Halopesa angu kimakosaa,Mfano ni kikongwe asie jua kitu kuhusu mitandao ?
Aweeeehhh..... mie sirudishi hata mia.Mie sijui sasa, na uzuri ilishawahi nitokeaa, 670k ziliingia kwenye Halopesa angu kimakosaa,
Niliacha km ilivyo, zikapita week 2 kimyaa, nkaunga bundle la 30k, ikabaki 640k.
Siku ya 2 yake, eti mtu ananipigia kunieleza kuna hela imeingia kwangu kimakosa, nkakubali na nlimuambia nimetumia 30k, akasema iliyobaki hiyo nirudishie, nkamrudishiaaa.
Hapo sioni tatizo kwakoMie sijui sasa, na uzuri ilishawahi nitokeaa, 670k ziliingia kwenye Halopesa angu kimakosaa,
Niliacha km ilivyo, zikapita week 2 kimyaa, nkaunga bundle la 30k, ikabaki 640k.
Siku ya 2 yake, eti mtu ananipigia kunieleza kuna hela imeingia kwangu kimakosa, nkakubali na nlimuambia nimetumia 30k, akasema iliyobaki hiyo nirudishie, nkamrudishiaaa.
Mtu atume pesa kimakosa useme njaa ,je asingetuma hiyo njaa ingekuua?Ndo huo mfano sasa kwamba mtoto kashikwa na njaa sana had kaamua kuingia shamba la mtu kula maembe sii kwa kupenda
Wapare bana😁Unakata 10% nyingine unamrudishia
Ilaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We bonda hata kidogo ulichojipimia then kingine atakutafuta akitaka hupaswi kuwa mwema sana kwa binadamu au unataka kujifunza kwa njia ngumu?
Yah na hii ipo sana wezi mitandaoni kibaoUsijaribu kurudisha, mwambie awasiliane na kampuni ya simu, wengine ni matapeli wanatengeneza sms halafu ukirudisha ushaibiwa.
Mie akiomba kurudishiwa, narudishaa.Aweeeehhh..... mie sirudishi hata mia.