cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Basi poaa.Hapo sioni tatizo kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi poaa.Hapo sioni tatizo kwako
Ilitakiwa umwambie wewe mjeda ai fid force ashawishike kurudisha 😂😂Majira yasambili usiku nilikuwa namtumia mtu pesa namba yake mwisho 250 akat ananitajia kichwa ikadabo badala ya 250 nikaandika 500 mbaya zaid jamaa wa 250 anaitwa ELIA najamaa wa 500 anaitwa ELIAS MOLLEL kwaiyo minikivyochek tu spelling zajina lakwanza ELIA minikatuma, jamaa akaondoka namimi nikaendelea nashuhuli zangu,asubuhi jamaa ananichek mbona hela haijafika nimeangalia hadi salio hakuna,nikapekua msg ndo nakuta nilikosea namba chap nikazuia muamala jibu likaja MTEJA HANA SALIO LAKUTOSHA nikasema apa nishapigwa ,nikampigia simu jamaa wa 500 akapokea masai safi,nikamuambia jana usiku nilikose namba nikatuma pesa kwako masai akaanza kunipiga maswali,
unaaitwa nani?
Upo wapi?
Unafaanya kasi gani?
Ulikuwa unamtumia nani? Pamoja nakumjibu maswali yake yote mwishoni masai akanikataa kuwa hajaona hela😂 nikamtumia msg yamuamala iliyorud kwangu bado masai akakataa katukatu NDOIKAWA ISHAKULA KWANGU IVO
Hata aniombe simpi ng'ooo.Mie akiomba kurudishiwa, narudishaa.
sema hakyanani vile 😂😂😂😂😂 mimi had sasa sjajua kama ntarudisha au ntagawana na mwenye pesa pasu kwapasuNitarudisha mkuu , kutorudisha ni wizi kama wizi mwingine .
Unagawa na offer kwa chawa kama 4 hv 😂😂 full kujigaragazaHata aniombe simpi ng'ooo.
Tena ntamfurumusha kama PAKA MWIZI atajutRRa.
Naitoa hela naenda kula BIA na KUKU huku nakata uno kweRikweRi.
Uno la shangwe. Uno la PAKA-CHONGO.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaanii.... machawa wataogelea bia 😂😂😂😂😂😂Unagawa na offer kwa chawa kama 4 hv 😂😂 full kujigaragaza
Msiwe mnalalamika sasa mkiona pesa za miradi zinapigwa na viongozi 😊sema hakyanani vile 😂😂😂😂😂 mimi had sasa sjajua kama ntarudisha au ntagawana na mwenye pesa pasu kwapasu
Ndo mana wengne wanashauri rudisha ata nusu au robo 3Sirudish
Huwa narudisha hv vielfu 50 ila sio mil
🤣🤣Frankly speaking,Bwana Yesu atanisamehe,nitatubu.
Kama nakuona umepanda juu ya meza na filimbi mdomoni mpasuo hadi kunako unacheza piano 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaanii.... machawa wataogelea bia 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kama nakuona umepanda juu ya meza na filimbi mdomoni mpasuo hadi kunako unacheza piano 😂😂😂
Kuna mwamba kasema anafanya mchakato wa kubadili line muda huo huo ila pipoo 😂😂Frankly speaking,Bwana Yesu atanisamehe,nitatubu.
Huyo ni pacha wangu,niliwahi pata laki moja mapema kama saa one hivi,nikahamisha line nyingine fasta,kama kunipigia saa kumi na mbili jioni nikasema samahani kaka nilishatumia nilidhani kuna mtu namdai kanitumia,nivumilie nitakurudishia ....hakupiga tenaaa...basi nikafanya kitubio siku zikapitaKuna mwamba kasema anafanya mchakato wa kubadili line muda huo huo ila pipoo 😂😂
Mstaarabu sana jamaakuna jamaa nilikosea elfu 15 ile kumpigia akanambia bro nisamehe siwezi rudisha pesa hii nina njaa mbaya ila save namba yangu nikiwa powa ntakurejeshea
tuliwasiliana kama miezi 4 akaja nirejeshea 50k, tumeendelea wasiliana hadi kuja kuonana alipo pata kazi mkoa jirani
Huyo ni pacha wangu,niliwahi pata laki moja mapema kama saa one hivi,nikahamisha line nyingine fasta,kama kunipigia saa kumi na mbili jioni nikasema samahani kaka nilishatumia nilidhani kuna mtu namdai kanitumia,nivumilie nitakurudishia ....hakupiga tenaaa...basi nikafanya kitubio siku zikapita
Mstaarabu sana jamaa
Nasadiki kusema kitubio kilikua batili, nisamehe kwa hilo 😂😂Huyo ni pacha wangu,niliwahi pata laki moja mapema kama saa one hivi,nikahamisha line nyingine fasta,kama kunipigia saa kumi na mbili jioni nikasema samahani kaka nilishatumia nilidhani kuna mtu namdai kanitumia,nivumilie nitakurudishia ....hakupiga tenaaa...basi nikafanya kitubio siku zikapita