Lakini katusaidia.... haters. Mlitaka tuchukue kombe gani?hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Lakin hilo galasa ndio limeisaidia man u kufika hapo walipofika.hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwani tatizo nini mkuu?What is so special to him? Ni muislamu kama walivyo Waislamu wengine. Na ni haki yake kufunga na kuzuru Makka kama zilivyo Nguzo tano Kuu za Waislamu.
Au hukujua kuwa ni Ustadhi?
Acha chuki!!Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
Daaah!. Mkuu mimi nimehoji tu na wala sina chuki. Anyway, tusiharibu Swaumu.Kwani tatizo nini mkuu?
Sidhani kama kuna aja ya kuanza kunichokonoa!!!
Pengine inaonesha unachuki na waislam na uislam wao!!!
Ohoooo!!!Pogba atakuwa gaidi tu one day,siku atajilipua ndani ya ndege na kuuawa timu nzima ya man united
Vifua vyenu vimejaa chuki na uislamu, nadhani ulitamani kumuona akienda kanisani, hivi inakukera nini wewe kwa yeye kwenda makkah?Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
Takwimu za EPL zinaonyesha ni kiungo bora aliefanya kazi yake kuzidi viungo wote msimu huu, haya huna zaidi ya chuki kisa umeona kaenda makah,hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Hakuna hijja kipindi hiki, amekwenda umrahView attachment 515597 View attachment 515598
Siku chache baada ya kuisaidia Man United kubeba ubingwa wa Kombe la Europa, Paul Pogba ametua Maka nchini Saudi Arabia kwa ajili ya Hija.
Pogba ambaye ni mwislamu, ameamua kufunga mwezi mtukufu wa Ramadhani zote licha ya kwamba atakuwa na mechi za kimataifa.
Hahaha imani ni juu yake, kwani kwenda kanisani Mimi ingenisaidia nini?Vifua vyenu vimejaa chuki na uislamu, nadhani ulitamani kumuona akienda kanisani, hivi inakukera nini wewe kwa yeye kwenda makkah?