Ustadhi Paul Pogba atua Macca kwa ajili ya ibada tukufu ya Hijja!!

Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
 
hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.

Tatizo ni kwamba nyie rival fans ndiyo mnaona garasa lakini sisi wenye timu tunaona bonge LA mchezaji

Utalamba matapishi yako muda si mrefu
 
What is so special to him? Ni muislamu kama walivyo Waislamu wengine. Na ni haki yake kufunga na kuzuru Makka kama zilivyo Nguzo tano Kuu za Waislamu.

Au hukujua kuwa ni Ustadhi?
 
What is so special to him? Ni muislamu kama walivyo Waislamu wengine. Na ni haki yake kufunga na kuzuru Makka kama zilivyo Nguzo tano Kuu za Waislamu.

Au hukujua kuwa ni Ustadhi?
Kwani tatizo nini mkuu?
Sidhani kama kuna aja ya kuanza kunichokonoa!!!
Pengine inaonesha unachuki na waislam na uislam wao!!!
 
Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
Acha chuki!!
 
Kwani tatizo nini mkuu?
Sidhani kama kuna aja ya kuanza kunichokonoa!!!
Pengine inaonesha unachuki na waislam na uislam wao!!!
Daaah!. Mkuu mimi nimehoji tu na wala sina chuki. Anyway, tusiharibu Swaumu.

Ramadhan Mubarak.
 
Muacheni Jamaa akachume swawabu zake, iwe ni mcheza mpira iwe ni kunyoa kiduku ni sawaa tu,hakuna sehemu yoyote kwenye vitabu takatifu vimeandika marufuku mcheza mpira au mnyoa kiduku kuabudu au kufanya ibada.
 
Hahahaha hizi imani hazina tofauti na kuamini ushirikina, kuna Ostadh mmoja nilikuwa namsikia anahubiri ndani ya msikiti kuwa ni dhambi kubwa sana anayecheza na kushabikia mpira, pia na style aliyonyoa Pogba mchezaji hewa wa Man U
Vifua vyenu vimejaa chuki na uislamu, nadhani ulitamani kumuona akienda kanisani, hivi inakukera nini wewe kwa yeye kwenda makkah?
 
hahahaha, hili galasa hili aisee, ni kete moja mbovu sana man u waliuziwa mbuzi kwenye gunia.
Takwimu za EPL zinaonyesha ni kiungo bora aliefanya kazi yake kuzidi viungo wote msimu huu, haya huna zaidi ya chuki kisa umeona kaenda makah,
 
Hakuna hijja kipindi hiki, amekwenda umrah
 
Vifua vyenu vimejaa chuki na uislamu, nadhani ulitamani kumuona akienda kanisani, hivi inakukera nini wewe kwa yeye kwenda makkah?
Hahaha imani ni juu yake, kwani kwenda kanisani Mimi ingenisaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…