Ustawi wa jamii

Ustawi wa jamii

habari zenu ndugu zangu mie unlucky nimerudi tena nadhani kipindi mlisoma mikasa yangu navyonyanyasika na mume leo yamenizidia naomba msaada nataka nipaginie haki yangu na watoto wangu naomba mnifahamishe hii ustawi wa jamii iko wapi na nitasidiwaje na je hawana tamaa ya rushwa siyo waje kunigauzia kibao baada ya kupewa rushwa na huyu mwanaume mie sina chochote sina pakwenda na wanangu naomba tafadhali mnisaidie

Punguza JAZBA.... Halafu mwaka kesho mnakumbushia......
 
Jamani pole sana.Lakini sasa sisi wengine story hatuijui hebu irudie labda twaweza kushauri
 
tatizo ni nini haswa? Mpaka utamani kwenda ustawi wa jamii? Hebu tusimulie mkasa mzima?
 
Pole sana.Kumbusha kidogo mkasa.Hata hivyo usihofu naamini hata humu ndani wapo watu wa ustawi wa jamii.Utasaidiwa tu.
 
pole sana Unlucky....sijui hata nikusaidiaje,kwani ile talaka aliyosema atakupa ameshakupa tayari?....mnh wanaume wengine wana roho za korosho kwa kweli....utamnyanyasaje mama wa watoto wako namna hio.....kama unaona huwezi kumove on unlucky consider kuwa mke wa pili wa huyo bwana hata kama hupendi for the sake of your children.......
 
pole ila ustawi ujue ndio mnaachana ivo ukienda kule mana mnaanzia pale zen mnapewa barua ya mahakamani kutangana kabisa
sema ustawi itakusaidia ww kuwa na umiliki halali wa mali mlizochuma
alafu shost ushauri wa bure badili jina hilo mana unlucky ndio umekua unlucky kweli
 
pole ila ustawi ujue ndio mnaachana ivo ukienda kule mana mnaanzia pale zen mnapewa barua ya mahakamani kutangana kabisa
sema ustawi itakusaidia ww kuwa na umiliki halali wa mali mlizochuma
alafu shost ushauri wa bure badili jina hilo mana unlucky ndio umekua unlucky kweli

hahahah.. Aminata bana!
 
Back
Top Bottom