USUFI NI NINI HASWA? nisaidieni tafadhali

USUFI NI NINI HASWA? nisaidieni tafadhali

kireri jr

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2014
Posts
227
Reaction score
42
Wakuu naombeni msaada wenu kwani nimekua katika hali ya kujiuliza swali hili kwa kipindi kirefu bila jibu. nimekua nikisikia kua kuna watu ni wasufi, mara dini flani ina usufi ndani yake n.k. nifungueni macho wakuu kuhusiana na hii suffisim kwamba ni kitu gani na inahusiana na nini
 
wakuu still nasubir ujuzi wenu katika swala hili
 
Ukiona hivyo ujue umeingia choo cha kike/kiume. Utakesha kisubir.....
 
Jee ulikusudia hii? jaribu kuclick hapa kwenye wikipedia:
Sufism - Wikipedia, the free encyclopedia

Otherwise ukiandika usufi kwa kiswahili ni kitu kama pamba kinatoka kwenye matunda ya mti unaoitwa msufi. Na hutumiwa kutengenezea magodoro enzi ambapo hakukuwa na magodoro ya spanji.

Du mkuu ka simu kangu kakchna kamekataa kufungua ata hyo sehemu uliponielekeza nipate maarifa. kama una uwezo wa kuiweka humu kwa urahisi zaidi ungefanya hvyo ili wengi tuelimike. SUFISM ndo niloikusudia mkuu
 
Jee ulikusudia hii? jaribu kuclick hapa kwenye wikipedia:
Sufism - Wikipedia, the free encyclopedia

Otherwise ukiandika usufi kwa kiswahili ni kitu kama pamba kinatoka kwenye matunda ya mti unaoitwa msufi. Na hutumiwa kutengenezea magodoro enzi ambapo hakukuwa na magodoro ya spanji.

Ni kweli na mimi nimeshauumbuka sasa. Mti Fulani si mrefu sana unakuwa na aina Fulani ya tunda (si tunda halisi) ambalo huwa linapasuka na kutoa kitu kama pamba. Magodoro hayo yalikuwa yanaitwa ya sufi. Tulikuwa tunayaita ya uji uji maana yalikuwa ni malaini sana.
 
Ni kweli na mimi nimeshauumbuka sasa. Mti Fulani si mrefu sana unakuwa na aina Fulani ya tunda (si tunda halisi) ambalo huwa linapasuka na kutoa kitu kama pamba. Magodoro hayo yalikuwa yanaitwa ya sufi. Tulikuwa tunayaita ya uji uji maana yalikuwa ni malaini sana.

mkuu kweli kuna mti wa hivyo na pia kuna hadi kondoo wa sufi ila kupitia neno hili hili kunazaliwa kitu kinachoitwa SUFISM hi hasa ndo nataka kuijua
 
mkuu kweli kuna mti wa hivyo na pia kuna hadi kondoo wa sufi ila kupitia neno hili hili kunazaliwa kitu kinachoitwa SUFISM hi hasa ndo nataka kuijua

Ok google nimeshaiona na inahusiana na imani za watu.Ingia tu andika Sufism kwa web search na ukitaka images utaziona kwa google.
 
Ok google nimeshaiona na inahusiana na imani za watu.Ingia tu andika Sufism kwa web search na ukitaka images utaziona kwa google.

mkuu nashukuru. ila kama kuna uwezekano wa kuiweka humu ndan kwa lugha ya taifa ili wengi tuelewe ingekua vema zaid
 
Sufism DefinedSufism is a school for the actualization of divine ethics. It involves an enlightened inner being, not intellectual proof; revelation and witnessing, not logic. By divine ethics, we are referring to ethics that transcend mere social convention, a way of being that is the actualization of the attributes of God.
To explain the Truth is indeed a difficult task. Words, being limited, can never really express the perfection of the Absolute, the Unbound. Thus, for those who are imperfect, words create doubt and misunderstanding. Yet:
[h=3]If one cannot drink up the entire ocean,
one can drink to one's limit.[/h]​
Philosophers have written volumes and spoken endlessly of the Truth, but somehow their efforts have always fallen short. For the sufi, philosophers are those who view the Perfection of the Absolute from a limited perspective; so all they see is part of the Absolute, not the Infinite in its entirety. It is indeed true that what philosophers see is correct; nevertheless, it is only a part of the whole.
One is reminded of Rumi's well-known story of a group of men in India who had never seen an elephant. One day they came to a place where an elephant was. In complete darkness they approached the animal, each man feeling it. Afterwards, they described what they thought they had perceived. Of course their descriptions were different. The one who felt a leg, imagined the elephant to be a pillar. The one who felt the animal's ear, described the elephant as a fan, and so on. Each one of their descriptions with respect to the various parts they had experienced was true. However, as far as accurately describing the whole, their conceptions had all fallen short. If they had had a candle, the difference of opinions would not have come about. The candle's light would have revealed the elephant as a whole.
Only by the light of the Spiritual Path and the mystic way can the Truth be discovered. In order for one to truly witness the Perfection of the Absolute, one must see with one's inner being, which perceives the whole of Reality. This witnessing happens when one becomes perfect, losing one's (partial) existence in the Whole. If the Whole is likened to the Ocean, and the part to a drop, the sufi says that witnessing the Ocean with the eye of a drop is impossible. However, when the drop becomes one with the Ocean, it sees the Ocean with the eye of the Ocean
 
Sufism (or taṣswwuf; Arabic: الصوفية&#8206😉 is a branch of Islam, defined by adherents as the inner, mystical dimension of Islam; others contend that it is a perennial philosophy of existence that pre-dates religion, the expression of which flowered within Islam.[SUP][1][/SUP] Its essence has also been expressed via other religions and metareligious phenomena.[SUP][2][/SUP][SUP][3][/SUP][SUP][4][/SUP] A practitioner of this tradition is generally known as a ṣūfī (صُوفِي&#1617😉. They belong to different ṭuruq or "orders" – congregations formed around a master – which meet for spiritual sessions (majalis), in meeting places known as zawiyahs, khanqahs, or tekke.[SUP][5][/SUP] All Sufi orders (turuq) trace many of their original precepts from the Islamic prophet Muhammad through his cousin and son-in-law Ali ibn Abi Talib, with the notable exception of the Sunni Naqshbandi order who claim to trace their origins through the first sunni Caliph, Abu Bakr.[SUP][6][/SUP] However, Alevi and Bektashi[SUP][7][/SUP] Muslims (and some Shia Muslims) claim that every Sufi order traces its spiritual lineage (silsilah) back to one of the Twelve Imams, the spiritual heads of Islam who were foretold in the Hadith of the Twelve Successors and were all descendants of Muhammad through his daughter Fatima and Ali. Because of this Ali ibn Abi Talib is also called the father of Sufism.[SUP][8][/SUP][SUP][9][/SUP] Prominent orders include Alevi, Bektashi, Mevlevi, Ba 'Alawiyya, Chishti, Rifa'i, Khalwati, Naqshbandi, Nimatullahi, Oveyssi, Qadiria Boutshishia, Qadiriyyah, Qalandariyya, Sarwari Qadiri, Shadhiliyya and Suhrawardiyya.[SUP][10][/SUP]
The origin of Sufism is also discussed in the book Mystical Dimensions of Islam, by Annemarie Schimmel.
Sufis believe they are practicing ihsan (perfection of worship) as revealed by Gabriel to Muhammad: "Worship and serve Allah as you are seeing Him and while you see Him not yet truly He sees you". Sufis consider themselves as the original true proponents of this pure original form of Islam. Sufism is opposed by Wahhabi and Salafist Muslims.
Classical Sufi scholars have defined Sufism as "a science whose objective is the reparation of the heart and turning it away from all else but God".[SUP][11][/SUP] Alternatively, in the words of the Darqawi Sufi teacher Ahmad ibn Ajiba, "a science through which one can know how to travel into the presence of the Divine, purify one's inner self from filth, and beautify it with a variety of praiseworthy traits".[SUP][12][/SUP]
Muslims and mainstream scholars of Islam define Sufism as simply the name for the inner or esoteric dimension of Islam[SUP][2][/SUP] which is supported and complemented by outward or exoteric practices of Islam, such as Islamic law.[SUP][13][/SUP] In this view, "it is absolutely necessary to be a Muslim" to be a true Sufi, because Sufism's "methods are inoperative without" Muslim "affiliation".[SUP][14][/SUP] In contrast, author Idries Shah states Sufi philosophy is universal in nature, its roots predating the rise of Islam and Christianity.[SUP][15][/SUP] Some schools of Sufism in Western countries allow non-Muslims to receive "instructions on following the Sufi path".[SUP][16][/SUP] Some Muslim opponents of Sufism also consider it outside the sphere of Islam.[SUP][2][/SUP][SUP][17][/SUP]
Classical Sufis were characterised by their attachment to dhikr, (a practice of repeating the names of God, often performed after prayers)[SUP][18][/SUP] and asceticism. Sufism gained adherents among a number of Muslims as a reaction against the worldliness of the early Umayyad Caliphate (661–750 CE[SUP][19][/SUP]). Sufis have spanned several continents and cultures over a millennium, originally expressing their beliefs in Arabic, before spreading into Persian, Turkish, Indian languages and a dozen other languages. N. B Nimeipata Wikipedia na ni ndefu sana. Hivyo nenda huko na mimi masuala ya imani zisizonihusu siwezi kutafsiri!!!![SUP][20]




[/SUP]
 
Back
Top Bottom