Tumekuwa tukitumia neno la kiingereza 'feedback' pengine kwa kutofahamu neno halisi la kiswahili. Wengine wanasema ni 'mlisho nyuma'.
Jumatano nimemsikia mtaalam wa lugha ya kiswahili akieleza ufasaha wake.
Neno 'feedback' kwa kiswahili ni Usuli.
Kwahiyo unaweza sema ' Ogah, nipe usuli wa kikao cha jana'.
Hivi nani huwa anatunga haya maneno, nijuavyo mimi lugha huwa haitungwi inatokea naturally, basi mwenzenu nilpoona neno usuli kwenye headline nikategemea kukutana na picha ya ajabu, neno hili linashabihiana sana na msuli, sasa linakuwa kama kisifa fulani hivi. e.g JAMAA NA USULI HUYO!!!
Tumekuwa tukitumia neno la kiingereza 'feedback' pengine kwa kutofahamu neno halisi la kiswahili. Wengine wanasema ni 'mlisho nyuma'.
Jumatano nimemsikia mtaalam wa lugha ya kiswahili akieleza ufasaha wake.
Neno 'feedback' kwa kiswahili ni Usuli.
Kwahiyo unaweza sema ' Ogah, nipe usuli wa kikao cha jana'.