Kuna
rafki yangu ana mimba ya miez 3 amenambia km anapofanya tendo la ndoa
na mme wake anaskia raha, lakin akimaliza tu hua anaskia maumiv makali
ya tumbo kama dk5 tu, halaf yanaisha . Je kuna tatizo au ni hali ya
kawaida tu, je ache kufanya tendo la ndoa, au kuna madhara yanaweza
kumtokezea baadae? NAWAOMBEN USHAURI NDUGU ZANGU KWAN RAFKI YANGU ANATESEKA.
rafki yangu ana mimba ya miez 3 amenambia km anapofanya tendo la ndoa
na mme wake anaskia raha, lakin akimaliza tu hua anaskia maumiv makali
ya tumbo kama dk5 tu, halaf yanaisha . Je kuna tatizo au ni hali ya
kawaida tu, je ache kufanya tendo la ndoa, au kuna madhara yanaweza
kumtokezea baadae? NAWAOMBEN USHAURI NDUGU ZANGU KWAN RAFKI YANGU ANATESEKA.