Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 262
- 577
ššššššSupu ya utumbo, vichwa vya Kuku, Miguu ya Kuku, Condom, kuwa mganga wa kienyeji..
Mengine wataongezea wenzangu.
Kuwa manju wa ngoma za mchiriku, usasambuaji (kwa mabinti), biashara ya kukodi matarumbeta ya kwenda kusutia na kwenye mafumanizi, supu ya pweza, urembo, simu za Itel, Infinix na TECNO, genge safi la vyakula...the opportunities are endless kwa kweli!Supu ya utumbo, vichwa vya Kuku, Miguu ya Kuku, Condom, kuwa mganga wa kienyeji..
Mengine wataongezea wenzangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Supu ya utumbo, vichwa vya Kuku, Miguu ya Kuku, Condom, kuwa mganga wa kienyeji..
Mengine wataongezea wenzangu.
1 gengeKwa eneo la uswahilini katikati ya mji ambapo jamii inayoishi wengi ni waswahili, wamama, wanafunzi, watoto wengi sana, wafanyabiashara na wajasiriamali, jamii ya watu wanaopenda mambo ya miziki na cd za kikorea, jamii ya watu wanaopenda sherehe na birthday.
Eneo kama hilo unaweza kufanya biashara gani: Taja biashara kuu 7
Kuuza maharage yalichemshwa tu na mtu akinunua anaweza kwenda Kula kwa kuyaunga na kitunguu au nyanya au Kula Kama yalivyoKwa eneo la uswahilini katikati ya mji ambapo jamii inayoishi wengi ni waswahili, wamama, wanafunzi, watoto wengi sana, wafanyabiashara na wajasiriamali, jamii ya watu wanaopenda mambo ya miziki na cd za kikorea, jamii ya watu wanaopenda sherehe na birthday.
Eneo kama hilo unaweza kufanya biashara gani: Taja biashara kuu 7
Sasa mbona kama unaleta janja janja,najua unatumegea fursa zilizopo kumbe unataka tukupe fursa zinazopatikanamoš¤Kwa eneo la uswahilini katikati ya mji ambapo jamii inayoishi wengi ni waswahili, wamama, wanafunzi, watoto wengi sana, wafanyabiashara na wajasiriamali, jamii ya watu wanaopenda mambo ya miziki na cd za kikorea, jamii ya watu wanaopenda sherehe na birthday.
Eneo kama hilo unaweza kufanya biashara gani: Taja biashara