uswahilini kuna vituko

uswahilini kuna vituko

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
duh jana nilikuwa maeneo ya mwananyamala sasa kuna sehemu kukawa kuna sherehe si ndo nasikia mc kapokonywa maik jamaa anatangazo
jamaa anatangaza nimenunua iPhone 13pro macho matatu million moja na lakii na.... sijakopa wala sidaiwi hiii hapa nazani mnaiona wote yule jamaa katoa maneno mengi ya mafumbo nikawa nashangaa kuna humuhimu gani wa kufanya vile? yaan mtu anunue cm atangaze

kwangu nimeona kama vituko tu
 
duh jana nilikuwa maeneo ya mwananyamala sasa kuna sehemu kukawa kuna sherehe si ndo nasikia mc kapokonywa maik jamaa anatangazo
jamaa anatangaza nimenunua iPhone 13pro macho matatu million moja na lakii na.... sijakopa wala sidaiwi hiii hapa nazani mnaiona wote yule jamaa katoa maneno mengi ya mafumbo nikawa nashangaa kuna humuhimu gani wa kufanya vile? yaan mtu anunue cm atangaze

kwangu nimeona kama vituko tu
Nawe umbea umekuzidi, nalo hilo la kulileta humu kweli!?
 
Kwa nn tusikae na kukubali katika utofauti wa kuendesha maisha yetu ......hatuwezi fanana mkuu , kila sehemu wana namna Yao ya kufanya mambo. Kwao wala hakuna shida kufanya hvo. Sasa wewe kwa nn uteseke na kuanza kuchambua mode za watu za maisha, wewe mwenyewe unayejiona mstaarabu kwa watu wengine waweza onekana mshamba.
 
Kwa nn tusikae na kukubali katika utofauti wa kuendesha maisha yetu ......hatuwezi fanana mkuu , kila sehemu wana namna Yao ya kufanya mambo. Kwao wala hakuna shida kufanya hvo. Sasa wewe kwa nn uteseke na kuanza kuchambua mode za watu za maisha, wewe mwenyewe unayejiona mstaarabu kwa watu wengine waweza onekana mshamba.
naelwa
 
Back
Top Bottom