NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
NEWZTANZANIA.: USWAHILINI MATOLA..WAMEPOTELEA WAPI?
Jamaa walikuwa wakali sana miaka ile, Pini lao la HAKUVAA KONDOMU lilibamba sana.
Walikuwa wanaweza sana na albamu yao ilibamba pia.
Je,wako wapi??
Jamaa walikuwa wakali sana miaka ile, Pini lao la HAKUVAA KONDOMU lilibamba sana.
Walikuwa wanaweza sana na albamu yao ilibamba pia.
Je,wako wapi??