Uswahilini Mzee wa miaka 80 ana Mtoto wa miaka 60 ana Mjukuu wa miaka 40 ana Kitukuu cha miaka 20 na Kilembwe, CCM mmetisha sana!

Uswahilini Mzee wa miaka 80 ana Mtoto wa miaka 60 ana Mjukuu wa miaka 40 ana Kitukuu cha miaka 20 na Kilembwe, CCM mmetisha sana!

Huyu babu atajibiwa na BAVICHA, watu wana kazi za maana kuliko kupoteza muda kwenye debe tupu.
Kazi na umri.
 
Kama alipata akiwa na miaka 30 atakuwa na mtoto ambaye Ana umri wa miaka 50.

This guy is luckiest man .
 
Nancy Pelosi spika mkongwe wa bunge la Congress alionekana anafaa na kustahili hadi akiwa na miaka 86.....

#Isiyo Kongwe Haivushi!
Alianza kushika nafasi za uongozi wakati gani?
Wassira wakati wa Nyerere mkuu wa mkoa yumo.
Mwinyi yumo
Mkapa yumo
Kikwete yumo
Magufuli yumo
Mama Abdul yumo

Msamiati wa kung'atuka hauko kwa Wassira, ung'atuke uende wapi? Umuachie nani.

MAKONGORO NYERERE
 
Back
Top Bottom