Uswahilini na starehe za kulazimisha

Uswahilini na starehe za kulazimisha

Kuombana chumvi,mafuta,unga

Naomba uniekee wali kwenye kibakuli kidogo nionje

Kuazimana sasa Dar

Kama unaka laptop chako unacheki series basi wadada au washkaj watataka waje waangalie kila siku hawajali kama utakuwa na kazi nayo siku hio

Wadada kujitongozesha plus kula kwa masihara ,ugomvi wa kuchukuliana mabwana na wanazidunda kwelikweli

Ukiwa kijana ukiwa at least umezoeana labda kwa salamu na mke wa jamaa utaambiwa unatoka nae

Akibisha hodi ukisema karibu halafu ujiandae utoke ukamuone haha hapo ataanza kuingia yeye chap ili akuone ndani
Kulivyo

Kama ni kijana analeta mademu wadada na mabinti watakuwa wanamsengenya kwelikweli ila ukiwa mkimya na mambo yako hauleti demu my fulendi watajigongesha kwelikweli

Ukiwa serious utaambiwa unajiona sana

Ni kosa kununua vitu vizur halafu upite navyo wakuone .ingia navyo usiku

Baba au mzee mwenye nyuma au maza house akijua unaandaa vitu vizur ataomba umewekee na yeye

Kama mshikaj anaingiza mademu na mama mwenye nyumba ana watoto wakike umri wa kuolewa lazima utahama tu usiulize kwa nini

Ni kosa kupanga kwenye nyumba ambayo mzee au mama mwenye nyumba anaishi hapohapo na anategemea kodi zenu yaani mtawekewa michango isiyoeleweka na kila siku itakuwa inapanda mfano taka na usafi

Watoto kunya pembeni hii inauzi sana wangewanunulia. Pot au waende nao toilet wawasimamie sio maeneo karibu na nyumba usipoangalia unakanyaga kinyesi

Wanaume kuwapiga wake zao hio IPO sana

Chumba kimoja kuishi baba mama na watoto hio IPO sana akija mgeni anaombewa hifadhi kwako

Usiache ndala zako ambazo unaendea bafuni nje lazima watatumia wengine wakiziona

Foleni ya maji mtu anaeka ndoo mapema kabla hata maji hayajatoka na anajaza mlima mwengine anaeka jiwe kabisa

Ukitaka kuoga oga usiku na kunya usiku usiulize kwa nini ukiamka asubuhi utaona show yake

Mziki sabufa na makelele aisee bila kusahau watu kuekeana taarabu za kuchambana hayo makelele yake sio poa
Mtu anaweka muvi ya kutafsiriwa sauti Kali kwenye spika sjui anatafuta nn kwan hawez kuskiliza taratibu peke ake

Kwenye story zao wakisimuliana kila mtu ana ndugu wa kishua au uko kwao walipotoka ni wakishua hakuna anaependa kujiweka chini

Kushindana kuvaa na uchumi wao wala hauruhusu shida yote jirani amuoenee sjui huu upuzi wanatoa wapi

Kukopana kwa sana aisee uswazi inaongoza kwa kukopana

Baadae nitaendelea au niishie hapahapa?





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale mitaa ya Buza...kwa Osama,,, Miguu ya kuku kwa raha zako
 
Hivi samaki huko ni bei rahisi sana?
Tofauti na mikoa mingine?
Namaanisha hata familia duni sana wana uwezo wa kula samaki kila siku?
Samaki wa4 sh2000 tu migebuka. Bado wale wa saizi ya kati wanauzwa kwa mafungo.
Ni bei rahisi kama upo Dar ukija huku lazima usitamani kutoka
 
Maisha ya uswahili, hao wa ushuani wanayapenda sana ujuwe... ILE SINEMA YA KIGODOLO YA ZAMAREADI MKETEMA ILIUZA SANA... maana imeonyesha maisha halisi ya uswahili.. na wanunuaji wengi ni wa huko ushuani...
 
Back
Top Bottom