Tunachimba visima vya maji bei ni kwa wateja wa Dar es salaam elfu sabini kwa mita moja bomba Inchi 4.5 na elfu themanini kwa mita moja bomba inchi 5 na kwa wale walioko mkoa wa pwani bei ni elfu themanini kwa mita moja bomba inchi 5 na kwa wale walioko mikoani bei ni laki na ishirini kwa mita moja
Nb: wateja wote ambao ardhi ya site zao zinamiamba migumu tutawachimbia kwa mita moja laki na ishirini
bei zote hizo utawekewa bomba (pvc), pampu pamoja na vifaa vyake bure pamoja ma kusafishiwa kisima chako
kwa mawasiliano 0625576082