Utabibu:Namba zinasema yanga ameshashinda mechi ya leo ,namba na nyota inaibeba yanga leo

Utabibu:Namba zinasema yanga ameshashinda mechi ya leo ,namba na nyota inaibeba yanga leo

Mkuu namba nimejaribu mfumo wako wa Namba inaonesha marudiano
hakutakuwa na goli lolote.
Mkuu umenifurahisha eti inaonyesha hizo ni fani za watu sasa yebo kapigwa 4G btw waarabu kwa ukanda wetu tunapigwa sana.
 
Mkuu umenifurahisha eti inaonyesha hizo ni fani za watu sasa yebo kapigwa 4G btw waarabu kwa ukanda wetu tunapigwa sana.
Nilikuwa na maanisha hakutakuwa na goli kwa Yanga hivyo niliatia.
 
Watanzania hasa Yanga kelele mingi kabla ya mechi baada ya mechi mkia makalioni!? Yanga mtashinda kwa maandalizi gani mliofanya? Mpira ni maandalizi mpira ni sayansi na mpira ni ufundi sio nyota ungekuwa mpira ni nyota au uchawi Nigeria ingekuwa bingwa wa dunia au Sumbawanga wangekuwa na timu nne EPL acheni ujinga wa karne ya 17
Hizo hesabu mnapigaje mkuu
 
Back
Top Bottom