Utabibu:Namba zinasema yanga ameshashinda mechi ya leo ,namba na nyota inaibeba yanga leo

Mkuu namba nimejaribu mfumo wako wa Namba inaonesha marudiano
hakutakuwa na goli lolote.
Mkuu umenifurahisha eti inaonyesha hizo ni fani za watu sasa yebo kapigwa 4G btw waarabu kwa ukanda wetu tunapigwa sana.
 
Mkuu umenifurahisha eti inaonyesha hizo ni fani za watu sasa yebo kapigwa 4G btw waarabu kwa ukanda wetu tunapigwa sana.
Nilikuwa na maanisha hakutakuwa na goli kwa Yanga hivyo niliatia.
 
Hizo hesabu mnapigaje mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…