computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
HahahahahahaAlison
Thiago
Alex teles
Casemiro
Antony
Vinicius
Richarlison
Neymar
Martinel
Hongera Brazil hakika sijawahi kuona kikosi kizuri kama hichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahaAlison
Thiago
Alex teles
Casemiro
Antony
Vinicius
Richarlison
Neymar
Martinel
Hongera Brazil hakika sijawahi kuona kikosi kizuri kama hichi
Haiwezekani kabisa. France lazima achukue kwa sababu defense yao iko vizuri na forward iko safi.Mara kwa mara nimekuwa nikijizuia kuandika chochote hapa JF chenye ubashiri kwa woga wa kuonekana ni muongo au mzushi, lakini baadaye ule ubashiri wangu (niliobakia nao akilini) kwa sehemu kubwa umekuwa ukitokea...
Anachukua ufaransa waswahili wenzetu
Defense ya ufaransa ipo vizuri?? Utawakataa hiyo jumapili maana wanaenda kuloweshwa.Haiwezekani kabisa. France lazima achukue kwa sababu defense yao iko vizuri na forward iko safi.
Ipo vizuri sana. We angalia waarabu wa Africa walivyojaribu ila kote walishindwaDefense ya ufaransa ipo vizuri?? Utawakataa hiyo jumapili maana wanaenda kuloweshwa.
Haiwezekani kabisa. France lazima achukue kwa sababu defense yao iko vizuri na forward iko safi.
Yaani hata waweje, France lazima achukue Kombe. I’m with France, wabongo wenzanguArgentina wamekamilika kila idara tusubir tuone uliona Modric na wenzake walivyofichwa
Walishindwa si kwa ubora wa defenc ya France ila kwa ubutu na kukosa uzoefu mkubwa zaid ktk safu ya ushambuliaji ya Morocco.Ipo vizuri sana. We angalia waarabu wa Africa walivyojaribu ila kote walishindwa
Messi simpendi mno, nilisha bet mil 40 France 02 na Argentina 0, goli la kwanza litafungwa Dakika ya 15 na la pili Dakika ya 41 yote kipindi cha kwanza.Walishindwa si kwa ubora wa defenc ya France ila kwa ubutu na kukosa uzoefu mkubwa zaid ktk safu ya ushambuliaji ya Morocco.
Achana na Messi na Alvarez, wale watu hawawezi kumuacha mtu salama.
Mechi haichezwi kesho MkuuMessi simpendi mno, nilisha bet mil 40 kesho France 02 na Argentina 0, goli la kwanza litafungwa Dakika ya 15 na la pili Dakika ya 41 yote kipindi cha kwanza.
Messi simpendi mno, nilisha bet mil 40 France 02 na Argentina 0, goli la kwanza litafungwa Dakika ya 15 na la pili Dakika ya 41 yote kipindi cha kwanza.
Mlishawapima au bado? majibu yakoje?Brazil wasipobeba wakapimwe mkojo, watakuwa wamelogwa
utoto wa fb na twitter unakuja jf kwa kazi!Haliendi popote, Tanzania tutawatuma Yanga wakaliibe
We ndo wa kuniambia mie hivyo? Mtoto wa juzi em tuliautoto wa fb na twitter unakuja jf kwa kazi!
Ha ha haWe ndo wa kuniambia mie hivyo? Mtoto wa juzi em tulia
Wabongo bhana tuma huo mkeka wa mill 40 tuone, mill40 ya kuandika