UTABIRI: BENCHIKHA hatakula Krismas hapo msimbazi, atajiuzuru ghafla na kuondoka kuelekea kwao kabla ya 25 Dec 2024

UTABIRI: BENCHIKHA hatakula Krismas hapo msimbazi, atajiuzuru ghafla na kuondoka kuelekea kwao kabla ya 25 Dec 2024

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.

Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.

Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.

Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
 
Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeri, dhihaka moyoni mwake, ni mtu flani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kweli kweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi, hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
Ana panic sana...anaona wachezaji hawamuelewiii
 
Jamaa anachafua tu Cv yake Anatamani hata angetua Jangwani

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Jangwani akafanye nini!??

Nyie watu mnapenda sana kuzusha na kujimwambafai.

Bnechika yupo yupo sana

Kale kauzushi kenu kuwa " Simba wanashinda Lakini hawana furaha" Sasa mmekaacha mmekuja na Benchika hana furaha.
 
Benchikha ni mtu flani anayekasirika haraka na asiyeweza kubeba maumivu, kejeli, dhihaka moyoni mwake.

Ni mtu fulani asiyemvumilivu na mpenda mafanikio kwelikweli, ni wachache tumeweza kumsoma kwa haraka kupitia trends ndogo ndogo hapo msimbazi.

Mfano, ishu ya chama na reaction yake, kuna kitu kingine kikubwa nmekiona wachezaji hawamuelewi benchikha anachokitaka kifanyike hawafanyi.

Hii inamtesa sana na inamuumiza sana lazima atapasuka kabla ya krismas 2024, mo aanze kutafuta kocha upesi.
krismas mbali sana mzee...huyu atakuwa sio kocha wa makolo kabla ya sikukuu ya iddi
 
Back
Top Bottom