Wakuu,
Muombe sana Mungu, nimeona uwanja ukiwa na giza nene sana na njia haipo kabisa.
Yaani hawa jamaa kamwe hawatokubali katiba mpya labda wananchi waidai kwa njia nyingine lakini wao kama wao hawana wazo la katiba mpya.
Na inaonekana suala la maendeleo ya dhati nalo itakua ndoto maana inaonekana ni uongouongo hivo tuombe sana Mwenyezi Mungu atuvushe.
Muombe sana Mungu, nimeona uwanja ukiwa na giza nene sana na njia haipo kabisa.
Yaani hawa jamaa kamwe hawatokubali katiba mpya labda wananchi waidai kwa njia nyingine lakini wao kama wao hawana wazo la katiba mpya.
Na inaonekana suala la maendeleo ya dhati nalo itakua ndoto maana inaonekana ni uongouongo hivo tuombe sana Mwenyezi Mungu atuvushe.