ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
- Thread starter
- #21
😂😂😂Kesho ni 1 bila.
Wataingia mmojawapo/wote wamepaki basi
Baada ya bao la 1 kuingia, aliyefungwa atafunguka, ataongeza moto na atapambana hadi muda unaisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Kesho ni 1 bila.
Wataingia mmojawapo/wote wamepaki basi
Baada ya bao la 1 kuingia, aliyefungwa atafunguka, ataongeza moto na atapambana hadi muda unaisha.
Mmewabeba sana na najua mtakibeba.Wasipewe kwasababu wewe hutaki au hastaili?
Haya kaweke mkeka, nmeshakupa raman yote😂😂😂
Anabebeka Sasa 🤣🤣🤣Mmewabeba sana na najua mtakibeba.
Kiafya haishauriwi kubet kesho 🤣🤣Mmewabeba sana na najua mtakibeba.
Ha ha ha mimi hako ka habari ka kubeti sikajuagi.Kiafya haishauriwi kubet kesho 🤣🤣
Umeonesha mahaba yakoVyovyote Kesho Messi bingwa 😂
Wewe ni kama mimi, eti kila kukicha ni yenyewe tu, lakini kwa ukaribu iliyonayo FIFA na ADIDAS na inavyomdhamini Messi nina wasiwasi kivyovyote lazima waibebe Argentina na Andunje ilimradi kombe na tuzo mbali mbali zimfikie Andunje [emoji849][emoji2960]Akikosa aje hapa pia, ila nawaonya msije kipa uchezaji bora kile kimbilikimo chenu maana tulishawachoka na yule mwenye kuvaa hareni kama bangili.
Hicho ndicho ninachokiomba mimi wawe nacho kesho France ili ibebe kombe la dunia lakini kuhusu mpira Argentina wako vizuri sana hata ktk kukaba na kufanya mashambulizi ya kustukiza.Ufaransa wana bahati
Good analysis, hasa hasa yale magoli ya kuingia mapema huwa nayaogopaga sana, yani France akibahatika kutangulia kushinda naamini atabeba kombe lakini Argentina ikitangulia kufunga nitazima TV na kwenda kuzurura mitaani tu [emoji1732][emoji28]Kesho ni 1 bila.
Wataingia mmojawapo/wote wamepaki basi
Baada ya bao la 1 kuingia, aliyefungwa atafunguka, ataongeza moto na atapambana hadi muda unaisha.
Mi nashangaa kwann messi mnamuitaga anduje wakati akija bongo ni mwanaume wa wastani kabisa.Wewe ni kama mimi, eti kila kukicha ni yenyewe tu, lakini kwa ukaribu iliyonayo FIFA na ADIDAS na inavyomdhamini Messi nina wasiwasi kivyovyote lazima waibebe Argentina na Andunje ilimradi kombe na tuzo mbali mbali zimfikie Andunje [emoji849][emoji2960]
Wameharibu mambo kipindi kirefu sana.Wewe ni kama mimi, eti kila kukicha ni yenyewe tu, lakini kwa ukaribu iliyonayo FIFA na ADIDAS na inavyomdhamini Messi nina wasiwasi kivyovyote lazima waibebe Argentina na Andunje ilimradi kombe na tuzo mbali mbali zimfikie Andunje [emoji849][emoji2960]
Nawewe ni timu Ronaldo?Hicho ndicho ninachokiomba mimi wawe nacho kesho France ili ibebe kombe la dunia lakini kuhusu mpira Argentina wako vizuri sana hata ktk kukaba na kufanya mashambulizi ya kustukiza.
NomaUtabiri wako unaelekea kutimia.
Uzi Wangu bado unapumuaTeam Messi Kesho tunanyanyua makwapa kwa mara ya Kwanza kabisa tukisherekea kombe la Dunia.
Hapo Ufaransa kashaleta ufala wake, tumepita naye 3:1, dakika 6 za nyongeza zinaisha Mbappe haamini anachokiona anapiga goti anatubu.
Ebwanaa eh Messi kama staring wa picha , anamaliza operation yake na mission accomplished 🤣🤣🤣
Harmonize ni mrefu kidogo kwa messi.Mi nashangaa kwann messi mnamuitaga anduje wakati akija bongo ni mwanaume wa wastani kabisa.
Urefu wa kina Harmonize ivi
Kama ni hivyo basi bongo ni nchi ya maandunje.
Inchi moja tu ndugu, kwa macho kutofautishiHarmonize ni mrefu kidogo kwa messi.