Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
Salaam sana wana JF!
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi utabiri huu wenye uzito mkubwa sana hasa kwa wapenzi na wafuatiliaji wa English Premier League™, kwamba msimu huu unaoanza mwezi August Arsenal the Gunner aka Gööners ndio watakao twaa ubingwa.
Ahsanteni, tutakutana mwisho wa msimu.
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi utabiri huu wenye uzito mkubwa sana hasa kwa wapenzi na wafuatiliaji wa English Premier League™, kwamba msimu huu unaoanza mwezi August Arsenal the Gunner aka Gööners ndio watakao twaa ubingwa.
Ahsanteni, tutakutana mwisho wa msimu.