Kuna nafasi ya kufanya vizuri kwakua kikosi kimekaa pamoja misimu miwili na zaidi ila nachelea kusema kwamba tunaweza twaa ubingwa!we need top striker top defensive midfielder na MTU Wa mwisho wa kazi mithili ya hummel
Babu asajil stiraika bana ana niboa sana.
Timu ya kuchukua ubingwa hip? Man city liver au Chelsea??
Ha ha ha.. Ubingwa kwa striker gani pale, Giroud..? Acheni ndoto hizo mnatakiwa muwe na mfungaji na sio mbahatishaji Mkuu.. Unadhani kwa nini Chelsea walichukua ubingwa msimu uliopita..? Walikuwa na mfungaji.. Hata Man U unaona wameamua kufanya mabadiliko mwaka huu na Rooney ndo atakuwa striker pale na Rooney ni mfungaji..
Ungetoa na sababu kwanini unawaza ivo ile kuijengea hoja utabiri wako...bt its okSalaam sana wana jf
Leo nachukua fursa hii kutangaza rasmi utabiri huu wenye uzito mkubwa sana has a kwa wapenz na wafuatiliaji was epl(English premier league)™, kwamba msimu huu unaoanza mwezi August Arsenal the Gunner aka gööner ndio watakao twaa ubingwa.
Ahsanteni tutakutana mwisho wa msimu.