Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
hawa wanahitaji kuwa assistant managers kwanza kabla ya kupewa timu rasmi, lakini wanahitajika pale benchi Arsenal. Huo ni mtazamo wangu tu jamaniThiery Henry/ Patrick Vieira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wanahitaji kuwa assistant managers kwanza kabla ya kupewa timu rasmi, lakini wanahitajika pale benchi Arsenal. Huo ni mtazamo wangu tu jamaniThiery Henry/ Patrick Vieira
even Arteta, bado anahitaji kuwa assistant kwa muda kabla ya kupewa ile timu, na hata Pep akiondoka pale City, bado anahitajika experienced manager wa kukaa juu yake ili Arteta aendelee kujifunza kwakeWengine wanasema arteta pia atatufaa coz pale city alipo anapata ujuzi mzuri tu kwa pep
hili nalo sawa piaLuis Enrique kwakweli atapendeza kuwepo pale Emirates
Nani sasa unamuona anafaa???Huyu hapana
conte hapana kabisa, i think luis enrique, diego simeone wanafaa zaidi . . .conte will spoil arsenal . . .surely i tell you mkuuNani sasa unamuona anafaa???