NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Save hii post gemu ikiisha uje hapa NALIA NGWENA huwa sibahatishiMpfyuuuuuuuuuuuu
Chai umekunywa lakini?
Mlio angalia mpira nafikiri mliliona Hilo magumashi yalikua ni mengi sana.Mechi ile ya juzi, goli la kwanza ni la utata mtupu mara mpira umevuka mstari, kipa nae akatoa sadaka kwa Baleke.
Goli la pili, mtu anachezewa faulo wazi wazi lakini refa anaacha tu watu waende wakafunge. Goli la tatu nalo limetolewa pochi. Yaani ilikuwa ni mwendo wa kubadilishana tu pochi kati ya refa, kipa na wachezaji.
Tulia hivyohivyo uje uone kitakachofanyika dakika 90 za mchezo hutoamini.Maparachichi sio Nyama, tulia mpaka happy 90 minit zitakapo isha.
Sawa usikimbie tuTulia hivyohivyo uje uone kitakachofanyika dakika 90 za mchezo hutoamini.
Amefunga eti.Mpfyuuuuuuuuuuuu
Chai umekunywa lakini?
Siwezi kukimbia maana NALIA NGWENA najiamini sana na utabiri wangu maridhawa.Sawa usikimbie tu
IHEFU si ndio yule mbabe wa yanga?Naam, kambumbu itapigwa pale mbalali kwenye uwanja wa mpunga, ihefu akimualika Simba sc.
NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.
Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu
Nakukosa haki kwa timu ya ihefu fc.
Matokeo yatakua tofauti na vile ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Sawa mteja wa Lucy Eymael na Manara tumekusikia. Kifupi tu ni kwamba magoli yote ya simba yalikuwa ya utata. Haya furahi sasa.Mlio angalia mpira nafikiri mliliona Hilo magumashi yalikua ni mengi sana.
Ndiyo ihefu ni mbabe wa yanga aliyeifunga yanga Mara mojaIHEFU si ndio yule mbabe wa yanga?
Wanakula tatu mzuka bila kupepesa macho.Wafanye wanavyo weza ila tarehe 16/04 /2023 tunawatandika na kuchukua kombe mgongoni mwao.
Hakuna kitu Kama hicho wewe utaona mwenyew namna gani onyango anavyotesa na mtesi wake mayele.Utachukua na kilio
Yanga alikufa moja pale kwenye ule uwanja nadhani labda hakukuwa na makosa ya kibinadamu kwa marefa.Naam, kambumbu itapigwa pale mbalali kwenye uwanja wa mpunga, ihefu akimualika Simba sc.
NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.
Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu
Nakukosa haki kwa timu ya ihefu fc.
Matokeo yatakua tofauti na vile ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Broo kila kitu kime planiwa ili kuleta furaha kwa mashabiki wa Simba kaa kideoni tazama dakika 90Yanga alikufa moja pale kwenye ule uwanja nadhani labda hakukuwa na makosa ya kibinadamu kwa marefa.