UTABIRI: Kwenye mechi ya Ihefu vs Simba Marefa watayafanya makosa ya kiubinadamu na kupelekea Simba kupata pointi tatu muhimu

Ukweli mtupu.
 
Mtoa mada akiangalia Simba ilivyokuwa ya moto kwa game zake nyingi anazoshinda anaamua kujizima data na kutengeneza DM ili hata Simba ilishinda ajitetee kwamba si nilisema hivi?.....hizo ni pigo za kike za kuwa na wivu bila sababu
Mbumbumbu fc hujaona hayo matapu tapu yaliyofanyika.
 
Vipi Kaka umepotea baada ya maparachichi kuoza?. Njoo ubishane tena, Simba babalao.
Baba lao kwa ligi kwa hayo magoli ya mchongo Israel mwenda kashika lakini refa kameza filimbi angalia motion ya mpira kabla ya goli la kwanza.
 
Vp sheikh yahya?utabiri wako uliendaje jana!?
 
Mbona leo umebadilisha mada madame? Juzi ulisema ihefu wataonewa hili halijatokea leo umebadili mada. Mara sijui suti ya kuazima sijui matako yamekuwa je? Hueleweki
Sieleweki kwa kipi ?? Wewe ndiyo hunielew aise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…