Dah...kisiasa atakuwa alikatwa kichwa....sijui kikazi itasemwaje...[emoji87]Huu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
Bure.Bei ya Mange sh ngapi?
Bilioni 1Bei ya Mange sh ngapi?
Its obvious.Mange hatabiriki.ataenda CCM..Hilo liko wazi sanaHuu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
Nani kakudanganya hafiki bei? Kila mtu ana bei yake isipokuwa lisu.Hakuna jipya chini ya jua, ila yule akirudi ujue sio kwa ajili ya hofu, ni mshiko. Pia hafiki bei haraka kama dr slaa
Angalia utanunuliwa pia na wewe!!Mh! Kutoa rushwa kununua wachumia tumbo wasio na msimamo ambao wanahaha huku na kule kutafuta shibe ni strategy ya kuigwa barani Afrika!? Bado tuna safari ndefu sana.
Itakuwa sio ajabu maana alikuwa hukoHuu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.
Ni suala la kuomba msamaha tu, ni mwana SISIEMU yule tena BY MEMBERSHIP, sio kwa ushabiki tu.Bei ya Mange sh ngapi?
Ni suala la kuomba msamaha tu, ni mwana SISIEMU yule tena BY MEMBERSHIP, sio kwa ushabiki tu.
KUMBE CCM MNAMPENDA MANGE NA KAZI ZAKEHuu ni utabiri ambao bila shaka utatimia kama sio hivi karibuni basi ni katika muda muhimu wa majeruhi ambao utawaacha watu midomo wazi na kuipa CCM sifa ya chama chenye stratejia za kuigwa barani Afrika na duniani.