Waambie kaka, anaishi kwa hela ya serikali wanayompa sababu ana watoto! Ni ya kawaida sana sana...Mambo ya Instagram yasiwapagaishe kama vile anakula kuku ile mbaya, ni kama Sanchi tu, nenda kwao uone kulivyo, ila ukitazama picha za Insta utafikiri anaishi Hotelini tu!Marekani kusikie hivyo hivyo!!
nikukumbushe alikuwa CCM kabla ya Lowassa kukatwa na kuhamia upande uleHakuna kitu kama Iko, ,,angekuwa yupo Tz kweli,,,,,hana njaa wala faida yoyote kurejea CCM
Hivi kipindi kile alipoanzisha kampeni ya kuchoma kadi za ccm ya kwake aliichoma?Ni suala la kuomba msamaha tu, ni mwana SISIEMU yule tena BY MEMBERSHIP, sio kwa ushabiki tu.
Fungua PMHaitotokea
Ccm,na aliyewahi kuwa mgombea ubunge ccm kinondoniKwani Mange ni mwanachama wa chama gani vile?
Mbona hakuna kituFungua PM
Umezuia bhnMbona hakuna kitu
Ngoja nikutumie mieUmezuia bhn
Mange bei yake sio chini ya billion 25Bei ya Mange sh ngapi?