Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Mkuu,nahisi wame hack account yake ya Instagram. Kwenye FB wamepost utumbo. Kwa vyovyote hawezi kuwa yeye.Mh! Kutoa rushwa kununua wachumia tumbo wasio na msimamo ambao wanahaha huku na kule kutafuta shibe ni strategy ya kuigwa barani Afrika!? Bado tuna safari ndefu sana.
She will surely come back stronger