Utabiri mara nyingi kwanini unawazungumzia watu katika ukristo?

Utabiri mara nyingi kwanini unawazungumzia watu katika ukristo?

Squad master

Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
13
Reaction score
8
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
 
kwani hao manabii uliowasema una uhakika ni walokole? mbona Shekhe Yahaya naye alitabiri kuhusu kifo cha Magufuri pamoja na kwamba alifariki ila utabiri wake ulitimia vipi hapo unasemaje?

Kuna Mjumbe humu humu alitabiri kuhusu ile ajali ya ndege na ikatokea, na hakusema kama yeye ni mlokole au nabii, hilo pia unalizungumziaje?
 
Acha ujinga ki mfano mi najua unatembea na mke wa mtu, nkapata taarifa mme wake anakusaka akuue, natabiri Kifo chako kiko soon.
Mawazo yangu lakini.
 
Shekh Yahaya hakuwa Mkristo mbona?
 
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
Tundu Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Anafaa Mbowe....
 
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
Hivi the simpsons ni walokole?
 
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
Utafiti wako hauja kamilika umefanya utafiti kwa upande mmoja hamia tena upande mwingine..

Alafu waislam hawana roho kumshukia mtu au roho ya Mungu sijawahi kusikia hiko kitu

Endelea na utafiti all the best
 
kwani hao manabii uliowasema una uhakika ni walokole? mbona Shekhe Yahaya naye alitabiri kuhusu kifo cha Magufuri pamoja na kwamba alifariki ila utabiri wake ulitimia vipi hapo unasemaje?

Kuna Mjumbe humu humu alitabiri kuhusu ile ajali ya ndege na ikatokea, na hakusema kama yeye ni mlokole au nabii, hilo pia unalizungumziaje?
Shekhe Yahaya ni miongoni mwa watabiri wakubwa sana wa kiislam na Mola amrehemu huko alipo. Hoja yangu hakuna mtabiri anayetabiri kuhusu dini ya kiislam wanaotabiri wanatabiri kuongezeka kwa waumini wa kikiristo hasa wengi kuokoka n.k. ninachohoji kwa hawa watabiri ni kutozungumzia dni nyingine as if hizo dini hazipo kabisa duniani. Watabiri wengine wanatabiri yatakayotokea tu bila kuzungumzia masuala ya kiimani. Lakini walokole wanatabiri mpaka kuongezeka kwa waumini wao wa kilokole na watu wengi kumrudia Mungu kupitia imani zao hizo.
 
Utafiti wako hauja kamilika umefanya utafiti kwa upande mmoja hamia tena upande mwingine..

Alafu waislam hawana roho kumshukia mtu au roho ya Mungu sijawahi kusikia hiko kitu

Endelea na utafiti all the best
Hapo ndipo ninapohoji. Waislam wengi wanatabiri kwa kutumia nyota. Na ukitumia nyota kutabiri utazungumzia machache kulingana na interest zako. Hata shekhe yYahaya alikuwa akitabiri kwa kutumia nyota na sio kuambiwa na roho wa Mungu kama wanvyodai watabiri wa kikiristo.
 
Hapo ndipo ninapohoji. Waislam wengi wanatabiri kwa kutumia nyota. Na ukitumia nyota kutabiri utazungumzia machache kulingana na interest zako. Hata shekhe yYahaya alikuwa akitabiri kwa kutumia nyota na sio kuambiwa na roho wa Mungu kama wanvyodai watabiri wa kikiristo.
Kutabiri nyota katika uislamu pia ni dhambi

((Atakayekwenda kwa mtabiri akamuuliza kitu haitokubaliwa Swalaah yake siku arubaini)) [Muslim]
 
Vp kuhusu utabiri wa wakristo nao ni dhambi ama!?
Pia hata ukristro umekataza utabiri

Isaya 47:13-15 "Umechoka kwa wingi wa mashauri yako basi nawasimame hao wajuao falaki, wazitazamao nyota watabirio kila mwezi mambo ya mwezi huo, wakakuokoe na mambo yatakayokupata. tazama watakuwa kama mabua makavu; moto utawateketeza hawatajiokoa na nguvu za mwali wa moto.
 
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
Mkuu utabiri wa kutoka kwa Mungu(unabii) inawezekana vp wakati mwengine usitokee kama ilivyo tabiriwa? Navyojua mimi maono au utabiri wa kawaida unaweza ukatokea tofauti au usitokee kabisa sio ajabu kuna ufafanuzi wake ila ukizungumzia huo unabii ni ajabu kwamba nao wakati unaweza usitokee.
 
Habarini wana jf.

Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia tabiri za wachungaji mbalimbali hasa kwa miaka 3 mfululizo ingawa hata huko nyuma nilikuwa nikifuatilia. Mara nyingi watabiri wengi wamekuwa ni hawa wanaojiita manabii wa kikiristo wa makanisa ya kilokole. Nimekuwa nikitafakari sana kuhusu utabiri wao.

Wapo waliotabiri mambo na yakatokea kama walivyotabiri na wapo walio tabiri mambo yakatokea kinyume chake. Nikitafakari sana nakosa majibu kwanini watabiri wengi wawe ji makanisa ya kilokole tu? Je haya makanisa mengine hayana roho mtakatifu wa kuwapa huo unabii wa mambo yajayo au wanapewa unabii halfau hawausemi?

Je vipikwa upande wa waislam maana kwa waislam naona watabiri wengi ni wa mambo ya nyota na wanatabiri kwa kusoma nyota zaidi. Kwanini nao wasiupate unabii kwa kuletewa na roho wa Mungu? Pamoja na utabiri wote niliowahi kuuona au kuusikia sijawahi kuona utabiri juu ya uislam kama dini. Ila wengi wanaotabiri wanatabiri kuuzungumzia ukristo tu as if ndio dini pekee iliyopo hapa duniani. Je huyo roho mtakatifu hajawahi kuwaambia kitu kuhusu imani nyingine au wanaambiwa ila hawasemi ukweli?

Tusaidiane wajuzi juu ya ukweli huu. Karibuni.

Uzi huu sio wa mabishano ya kidini hivyo tujadili kwa nia njema tuujue ukweli juu ya utabiri unaotolewa na hawa manabii wa kilokole hsa.
Usipende kuamini walokole au wachungaji kwani wengi wao ni mazwazwa tu na matapeli wakitafuta wana kondoo wasiojitambua akili.
 
Tundu Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Anafaa Mbowe....

KWA HALI HII , ANAFAA MBOWE

1736841468544.jpeg
 
Back
Top Bottom