Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Kwa kuangalia vigezo tofauti ikiwemo mbinu na history za timu hizi mbili wanapokutana Guinea, naiona mechi inaweza kuisha kwa ushindi mwembamba kwa Guinea.
Mpira una mambo mengi ukiachana na ubora wa wachezaji kuna swala la mbinu pia. Raja mpaka sasa kwenye kundi lao ndio timu pekee ambayo haijaruhusu goli na ndio timu pekee kwenye kundi lao ndio ina magoli mengi, ila Horoya ni wamewekeza zaidi kwenye nidhamu, mbinu na ufundi.
Mpaka sasa Raja wameshakuwa na uhakika wa kufuzu, wakiwa wamebakisha game moja ya nyumbani hivyo wanaenda kucheza na Horoya pasipokuwa na tension kubwa sana, huku Horoya wao wakibebwa na History nzuri pindi wakicheza na Raja hapo Guinea, mechi itaisha kwa Horoya kushinda au sare. Ni vile navyoona mimi, kila mtu na muono wake.
Mpira una mambo mengi ukiachana na ubora wa wachezaji kuna swala la mbinu pia. Raja mpaka sasa kwenye kundi lao ndio timu pekee ambayo haijaruhusu goli na ndio timu pekee kwenye kundi lao ndio ina magoli mengi, ila Horoya ni wamewekeza zaidi kwenye nidhamu, mbinu na ufundi.
Mpaka sasa Raja wameshakuwa na uhakika wa kufuzu, wakiwa wamebakisha game moja ya nyumbani hivyo wanaenda kucheza na Horoya pasipokuwa na tension kubwa sana, huku Horoya wao wakibebwa na History nzuri pindi wakicheza na Raja hapo Guinea, mechi itaisha kwa Horoya kushinda au sare. Ni vile navyoona mimi, kila mtu na muono wake.