Utabiri mechi ya Simba na Yanga itaisha Sare, pia Timu zote mbili zitatolewa kwenye robo fainali ya mashindano ya Caf

Utabiri mechi ya Simba na Yanga itaisha Sare, pia Timu zote mbili zitatolewa kwenye robo fainali ya mashindano ya Caf

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari za jioni.

Utabiri wangu ndio huo.

Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare

Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.

Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa


Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
 
Habari za jioni.

Utabiri wangu ndio huo.

Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare

Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.

Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa


Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
Acha kupiga ramli za kiboya wewe. Halafu ukitaka kuheshimika na wewe jiheshimu
 
Habari za jioni.

Utabiri wangu ndio huo.

Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare

Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.

Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa


Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
16.4.2023 Yanga anapigwa
 
Habari za jioni.

Utabiri wangu ndio huo.

Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare

Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.

Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa


Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
Unaleta mada kiudaku udaku tuu. Timu zitatoa sare hakuna sababu, Yanga na Simba watatolewa hakuna maelezo. Hivi hawa Walimu wenu wa siku hizi hawawafundishi kujenga hoja, lo hiki kizazi.
 
Habari za jioni.

Utabiri wangu ndio huo.

Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare

Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.

Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa


Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
YANGA kutolewa robo fainali sawa, lakini YOUNG AFRICANS kutolewa robo fainali hilo ww sahau (rudia kuota ndoto yako)

game ya Makolo vs Young Africans ni ngumu... tena ngumu mnoo haitabiriki hata kidogo hadi wakati huu, yaani matokeo hayaonekani kabisa
 
YANGA kutolewa robo fainali sawa, lakini YOUNG AFRICANS kutolewa robo fainali hilo ww sahau (rudia kuota ndoto yako)

game ya Makolo vs Young Africans ni ngumu... tena ngumu mnoo haitabiriki hata kidogo hadi wakati huu, yaani matokeo hayaonekani kabisa
Matumizi mabovu ya akili haya, Mpira ni kitu cha wazi kabisa wewe tayari umeshapiga ramli 😂😂😂😂
 
Matumizi mabovu ya akili haya, Mpira ni kitu cha wazi kabisa wewe tayari umeshapiga ramli 😂😂😂😂
matumizi mabaya ya akili haya, yaani ushaanza kuwaza uwanga mapema yote hii, be positive 😀 😀
 
YANGA kutolewa robo fainali sawa, lakini YOUNG AFRICANS kutolewa robo fainali hilo ww sahau (rudia kuota ndoto yako)

game ya Makolo vs Young Africans ni ngumu... tena ngumu mnoo haitabiriki hata kidogo hadi wakati huu, yaani matokeo hayaonekani kabisa
Rivers kumfunga kwake au hata kupata sare ni ufanye kazi haswa. Lasivyo ni timu inayokuabisha, waba record nzuri sana kwao
 
Back
Top Bottom