cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na akakandwaa kweliii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]16.4.2023 Yanga anapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akakandwaa kweliii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]16.4.2023 Yanga anapigwa
Poleeee kwa kutesekaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba anakufa kotekote.. Hakuna timu ya kufungwa na simba hapo.
Ova
FRESHMAN utabiri wako ulienda kombo kufikia sasaHabari za jioni.
Utabiri wangu ndio huo.
Simba na Yanga mechi itaisha kwa matokeo ya sare
Pia simba atatolewa na Waydad kwenye ligi ya mabingwa barani africa.
Na Yanga nayo itatolewa na Rivers Utd kwenye kombe la shirikisho barani Africa
Mnakaribishwa na wengine kuweka utabiri wenu
hamshindi mpaka mvua inyeshePoleeee kwa kutesekaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui Una hali gani hapo ulipoo
kwani mnadhaminika nyinyi?Hivi Bado mpoo
Kwani miaka yote hii tulikua tunashinda na mvuaa??hamshindi mpaka mvua inyeshe