Ili uweke mizani sawa ujiulize pia katika michezo iyo mitano je! Simba Wana clean sheet ngapi? Utakua umeutendea mpira haki.Unaweza ukawa sahihi. Mimi ni Yanga ila huo ndio ukweli,mechi ya leo mikia wanaongoza hata bao moja. Point 3 paleeeee. Msha Jr afurahie
Hiyo hapo mkuu. Nimekuambia watachomoka na kimoja cha bahati....! Eeeh isyoo....Ili uweke mizani sawa ujiulize pia katika michezo iyo mitano je! Simba Wana clean sheet ngapi? Utakua umeutendea mpira haki.
Hakuna cha majasusi wala nini, mechi ilikuwa ipo wazi kwa Simba.Mamajusi wanaongezeka sana jf.
Watabiri ni wengi kwani huwaoni mkuu.Hakuna cha majasusi wala nini, mechi ilikuwa ipo wazi kwa Simba.
Kuna wajinga huwa hawawez kabisa kukubali uwezo wa mtu mwingineWatabiri ni wengi kwani huwaoni mkuu.
Sawa sawa mtu anatabiri kiuhakika kabisa lingine linakataa.ANGEKUWA MZUNGU UNGESIKIA WAZUNGU WANA AKILI SANA.Kuna wajinga huwa hawawez kabisa kukubali uwezo wa mtu mwingine
Ndo maana wengi tunaishia kuwa wachawi
Sasa kama huyu changaule