Utabiri mzizima derby: Simba 0 _ 2 Azam

Utabiri mzizima derby: Simba 0 _ 2 Azam

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Wakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football

Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani

Japo nahisi hii ndoto ni ya ukweli...kulingana na uchambuzi nilioufanya

NB: kwenye hii ndoto.....Simba wamepata penalty....ila wamekosa
1739987447865.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football

Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani

Japo nahisi hii ndoto ni ya ukweli...kulingana na uchambuzi nilioufanya

NB: kwenye hii ndoto.....Simba wamepata penalty....ila wamekosa View attachment 3247748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
ICE CREAM 0:3 MNYAMA
 
Wakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football

Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani

Japo nahisi hii ndoto ni ya ukweli...kulingana na uchambuzi nilioufanya

NB: kwenye hii ndoto.....Simba wamepata penalty....ila wamekosa View attachment 3247748

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
NCHI YA SIMBA NA YANGA
 
Back
Top Bottom