Siku hizi umeshtuka, hautoi ahadi za kupigwa ban au kuliwa Yas kama zamaniNimeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani
ICE CREAM 0:3 MNYAMAWakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football
Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani
Japo nahisi hii ndoto ni ya ukweli...kulingana na uchambuzi nilioufanya
NB: kwenye hii ndoto.....Simba wamepata penalty....ila wamekosa View attachment 3247748
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Wenzako wakitabiri huwa wanaweka na ahadi endapo ikitokea tofauti, weka mixx by yas endapo mnyama atashinda.
Kwamba ni ndugu[emoji23]Hao ni shetani na mama mkwe wake
Hapana mkuu...nipo kwenye jumba langu la kifahari hapa tukuyu ( mansion)[emoji23]Endelea kulala kwa shemeji yako
Nipo kwangu mkuu..... kwenye (mansion) la kifahariDua la kuku halinaga madhara kwa mwewe, endelea kuvizia kuvizia msosi kwa shemeji huku ukipiga miayo na kuota ndoto za alinacha.
Hakuna haha ....coz Azam atashinda tuSiku hizi umeshtuka, hautoi ahadi za kupigwa ban au kuliwa Yas kama zamani
Watapigwa tu mkuuNaona mnatamania na mnategemea simba atoe sare au afungwe.
Tanzania hakuna ligi kuna upangaji matokeo
Sijawah kosea utabiriWenzako wakitabiri huwa wanaweka na ahadi endapo ikitokea tofauti, weka mixx by yas endapo mnyama atashinda.
NCHI YA SIMBA NA YANGAWakuu...nmelala mchana huu nimekurupuka Baada ya kuota ndoto hii ya kutisha japo ni nzuri Kwa maslahi ya football
Nmeota simba kafungwa 2_ 0 na Azam huku wafungaji wakiwa ni feitoto na silla......huku makolo wawili wakizimia uwanjani
Japo nahisi hii ndoto ni ya ukweli...kulingana na uchambuzi nilioufanya
NB: kwenye hii ndoto.....Simba wamepata penalty....ila wamekosa View attachment 3247748
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app