Guardiola kawazawadia kombe, starting a game like this of this magnitude without your two holding midfilders ni utani, kila anaeujua mpira kamshangaa.
No Fernandinho. No Rodri. Wow!.
Kaanza na kikosi ambacho hajawahi kukichezesha kabla yani ni utani, ndio maana Kante kazungusha pale kati kama malaika, amefanya majaribio kwenye game ya fainali I can't blv this.
Angeanza na kikosi kilichomtoa Dortmund na PSG msingetoka, Im very sure on this, tatizo lake anapenda majaribio yasiyo na maana.
Anyway, congrats kwa kupewa kombe na Guardiola himself.