Kumbe wewe ni kichaa wa kubetiCity anamaliza game na one short on target! hakuna cha tactics spot on wala nini, mmeuziwa game jana.
Kama TT anajua nini kiliwashinda kwa Leicester final ya FA Cup, na Aston Villa mkitafuta nafasi ya nne mpaka mkasaidiwa na Spurz!.
Uko sahihi Mkuu... Pep alizidiwa mbinu... Na Kante ndo alimvuruga kabisa....No wazi kabisa huna unachokijua kuhusu mpira,kwamba Pep kawauzia Chelsea game ambayo ingecement legacy yake kama the best coach ever pale City?...hivi unajua kwa kiasi gani Pep analitaka like kombe ili kuwanyamazisha critics wake?...acha ubishi usio na tija,City jana walikuwa outsmarted na Chelsea!!
City anamaliza game na one short on target! hakuna cha tactics spot on wala nini, mmeuziwa game jana.
Kama TT anajua nini kiliwashinda kwa Leicester final ya FA Cup, na Aston Villa mkitafuta nafasi ya nne mpaka mkasaidiwa na Spurz!.
Ukisema false 9 maana yake hakukuwa na striker. Tunataka Pure striker kama Jesus au Aguero.Alikuwepo false 9 De Bruyne, haya maswali ya kitoto ulizaneni wenyewe.
Unawa-outsmart vipi opponent na timu ya majaribio ambayo hujawahi kuitumia kabla? habari ya legacy kama angekuwa serious nayo angejua umuhimu wa kuanza na holding midfilders ndio maana akawanunua Ferna na Rodri.No wazi kabisa huna unachokijua kuhusu mpira,kwamba Pep kawauzia Chelsea game ambayo ingecement legacy yake kama the best coach ever pale City?...hivi unajua kwa kiasi gani Pep analitaka like kombe ili kuwanyamazisha critics wake?...acha ubishi usio na tija,City jana walikuwa outsmarted na Chelsea!!
Ndio mana nimekwambia tafuta watoto wenzio ubishane nao kuhusu haya mambo, unalazamisha kitu usichokijua hata hueleweki unaandika nini, hata false 9 hujui maana yake.Ukisema false 9 maana yake hakukuwa na striker. Tunataka Pure striker kama Jesus au Aguero.
Wewe ndio huelewi kabisa. Tangu lini De Bruyne akacheza 9. Na hapo ndipo Pep kajichanganya.
Kajifunze mpira wewe binti.
Ila Mkuu, Kante ni zaidi ya MtuKila mtu anajaribu kumshangaa Pep eti alipanga team mbovu. Hasn't it crossed your mind kwamba team selection yake ilikuwa nzuri tu ila Chelsea were just superior? kwamba hamjaona kabumbu alilotandaza Kante, Rudiger na Reece James?
Mnyonge mnyongeni ila Tuchel's tactics were spot on jana
Alikuwa haja Concetrate kwenye mechi ya jana alikuwa ana save kikosi cha EuroVipi mzee na leo Guardiola hakuwa serious na match eeeh, alikuwa ana rotate kikosi sivyo eeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana macho ila hawaoni. Wamejitia upofu.Kila mtu anajaribu kumshangaa Pep eti alipanga team mbovu. Hasn't it crossed your mind kwamba team selection yake ilikuwa nzuri tu ila Chelsea were just superior? kwamba hamjaona kabumbu alilotandaza Kante, Rudiger na Reece James?
Mnyonge mnyongeni ila Tuchel's tactics were spot on jana
Ohooo basi kunradhi, nilikuwa sijakuelewa. Nilifikiri umemsapotisasa kama denoj anafikia hatua ya kusema pep katupa ubingwa ina maana yeye alikuwa hautaki si ndio.
Wewe ni mlevi wa betting. Ila sipati picha mikeka yako inavyochanika! Ni fedheha kwa hiyo Man City kuwa na shabiki kama wewe."Winning side never change" nilijua atapanga timu iliyomtoa Dortmund na PSG, na Dortmund ndio walikuwa wagumu zaidi yenu, mna bahati sana, mmeifunga City dhaifu no way out.
Umeburuzwa na Aston Villa juzi tu, nyie mlikuwa underdog Guardiola akawazawadia kombe.
Hizo match za Aston Villa na Leicester hukuangalia ndio maana unaandika huu utumbo.City anamaliza game na one short on target! hakuna cha tactics spot on wala nini, mmeuziwa game jana.
Kama TT anajua nini kiliwashinda kwa Leicester final ya FA Cup, na Aston Villa mkitafuta nafasi ya nne mpaka mkasaidiwa na Spurz!.
Unaandika utumbo tu?Hutaki kuambiwa ukweli unaniita negative, unataka nikubali tu unachoandika, siko hivyo.
Mkuu mbona huu uzi siujui nani kaandika.Kichwa Kichafu utabili ulitimia
π π πMkuu mbona huu uzi siujui nani kaandika.