Utabiri: Sabaya atafutiwa kesi zake zote, na kisha Mama atasifiwa kwa kuwa msikivu na mpango wa Mama kuonekana ana ubinadamu utakuwa umetimia

Utabiri: Sabaya atafutiwa kesi zake zote, na kisha Mama atasifiwa kwa kuwa msikivu na mpango wa Mama kuonekana ana ubinadamu utakuwa umetimia

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Bongoland na jinsi watawala wa awamu iliyopo wanavyofanya mambo yao, basi utagundua kile kilio cha kina Mama kinaweza kuwa ni tukio la kupangwa ili baadae jambo hilo lifanyiwe kazi na kisha zianze sauti za kusifu na kupongeza pale kijana atapoachiwa huru.

Kampeni za kuelekea 2025 ziko kila mahali na kwa kila namna kuanzia mabongo barabarani na karibu kila mahala na katika kila oppurtunity inayopatikana.

Predicting how some of our politicians are going to react or behave under certain circumstances or situations, has never been difficult and will never be so.

Time will tell.

NB:Kwakeli tumakiri anajitahidi sana katika kuonyesha ubinadamu/utu tofauti na mtangulizi wake, ila asisahau msemo huu: "too much of everything is harmful", hivyo awe makini ingawa tunapenda aendele na moyo huo.
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Bongoland na jinsi watawala wa awamu iliyopo wanavyofanya mambo yao, basi utagundua kile kilio cha kina Mama kinaweza kuwa ni tukio la kupangwa ili baadae jambo hilo lifanyiwe kazi na kisha zianze sauti za kusifu na kupongeza pale kijana atapoachiwa huru.

Kampeni za kuelekea 2025 ziko kila mahali na kwa kila namna kuanzia mabongo barabarani na karibu kila mahala na katika kila oppurtunity inayopatikana.

Predicting how some of our politicians are going to react or behave under certain circumstances or situations, has never been difficult and will never be so.

Time will tell.
sabaya anastahili adhabu ya kifo
 
Kama wewe ni mfuatiliaji wa siasa za Bongoland na jinsi watawala wa awamu iliyopo wanavyofanya mambo yao, basi utagundua kile kilio cha kina Mama kinaweza kuwa ni tukio la kupangwa ili baadae jambo hilo lifanyiwe kazi na kisha zianze sauti za kusifu na kupongeza pale kijana atapoachiwa huru.

Kampeni za kuelekea 2025 ziko kila mahali na kwa kila namna kuanzia mabongo barabarani na karibu kila mahala na katika kila oppurtunity inayopatikana.

Predicting how some of our politicians are going to react or behave under certain circumstances or situations, has never been difficult and will never be so.

Time will tell.

NB:Kwakeli tumakiri anajitahidi sana katika kuonyesha ubinadamu/utu tofauti na mtangulizi wake, ila asisahau msemo huu: "too much of everything is harmful", hivyo awe makini ingawa tunapenda aendele na moyo huo.
Yule Jangili ana kesi zaidi ya 10000
Tunae yule Mpaka Utimilifu wa dahali
 
Back
Top Bottom