Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwa wale tulio mabingwa wa kutabiri mechi hapa Tanzania tuanzeshe kutabiri mechi hii muhimu kwa taifa la Tanzania

Utabiri wangu
Kila nikiangalia kwenye kioo naiona Simba ni underdog na Simba anakula. Kichapo cha 5_ 0

Leo asubuhi pia nmeota

Orlando pirates 5___0 simba

Mechi itaisha kwa mashabiki kung'oa viti na kuiba .....VAR

Dondosha utabiri wako hapa
 
Kwa wale tulio mabingwa wa kutabiri mechi hapa Tanzania tuanzeshe kutabiri mechi hii muhimu kwa taifa la Tanzania

Utabiri wangu
Kila nikiangalia kwenye kioo naiona Simba ni underdog na Simba anakula. Kichapo cha 5_ 0

Leo asubuhi pia nmeota

Orlando pirates 5___0 simba

Mechi itaisha kwa mashabiki kung'oa viti na kuiba .....VAR

Dondosha utabiri wako hapa
View attachment 2181347
Umeamka tu ukaandika, ukapost, ukalala.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Yaan utopolo bhana, badala uwe buzzy na team yako kuifanya pre analysis dhidi ya GGM kombe la FA, wee kutwa kuwashwa na chama kubwa linalowakilisha Taifa. Lol

Maumivu yakiwazidi muwahi Mlonganzira, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huo sio utabiri bali ni chuki uliyo nayo kwa timu ya simba, kisa wewe ni Yanga.

Hizo 5 utaishia kuziandika humu lkn Simba haiwezi kufungwa goli hizo.
Hapana mkuu......cna chuki...
 
Kwa wale tulio mabingwa wa kutabiri mechi hapa Tanzania tuanzeshe kutabiri mechi hii muhimu kwa taifa la Tanzania

Utabiri wangu
Kila nikiangalia kwenye kioo naiona Simba ni underdog na Simba anakula. Kichapo cha 5_ 0

Leo asubuhi pia nmeota

Orlando pirates 5___0 simba

Mechi itaisha kwa mashabiki kung'oa viti na kuiba .....VAR

Dondosha utabiri wako hapa
View attachment 2181347
Tanzania
Simba 2 Orlando Pirates 2

South Africa
Orlando Pirates 4 Simba 0

Ceteris peribus
 
Yaan utopolo bhana, badala uwe buzzy na team yako kuifanya pre analysis dhidi ya GGM kombe la FA, wee kutwa kuwashwa na chama kubwa linalowakilisha Taifa. Lol

Maumivu yakiwazidi muwahi Mlonganzira, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamtaki tuseme ukweli...
 
Back
Top Bottom