Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Nimefuatilia mijadala kuhusu FIFA Club World Cup, nikaukumbuka uzi huu niliuleta toka January.

Yaani hapo Che Malone, Ngoma, Benchikha walikuwa bado hawajaja na maingizo mapya machache katika dirisha hili dogo nayo yalikuwa bado. Tuendelee kula mtori, nyama zipo chini
 
Huu utabiri wako, ulimaanisha msimu huu 2023/24 au uliopita 2022/23?. Maana maneno Yako ya wakati ule ni kama ulimaanisha msimu uliopita. Ila maneno ya Leo ni kama umehamia msimu huu.
 
Wacha wewe! Hao wachezaji 15 wa kusumbua CAF bado wapo? 😁 Haya mimi naanzisha mkeka! Malizia waliobakia hapo chini.
1. Kepteni John Bocco
2.
3.
4.
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…