Utabiri: Simba kubeba taji la Kombe la Shirikisho barani Afrika 2021/22

Wana Simba wenzangu like huu uzi hakika unaenda kutimia na hata usipotimia tutakua washindi wa pili
 
Hivi Wanasimba wenzangu, hivi kwa Orlando tutatoka kweli?
Vizuri tu, kwa namna kaizer chief alivyotufanya tutakuwa makini sana kumbuka tulichomfanya mfanya as vita baada ya kutufungwa 5,msimu uliofuata tulikuwa makini tukamtoa najua wao watatudharau ndipo watakapo dhalilika simba ina uwezo mkubwa sana ukiona amefungwa amedharau mechi.
 

NI LAZIMA NDOO
 
Kupata comedy kama hii bonyeza 0
 
Umeumbuka!
 
HahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhhahahahahahahahahahahHahahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahhahahahahaahhahahahahahahahahaahahahhahahaahahahahahahahahaahahhaahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…